Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari wadau nauza mashine ya kufua upepo (compressor) kubwa unaweza kutumika kwa ajili ya mining and construction projects. Details zake ni Engine ya Ford Piston 4 kubwa Kinu chake ni cha...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Inakaa na chaji siku nzima Unaichaji lisaa 1 tu Nakuletea ikiwa mpya Newfull box yaani saa yenyewe ikiwa na betri moja na USB tayari kwa matumizi Sim Card and Memory Card Unaweza kupiga na...
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Kwa anayejua wapi naweza pata Tall Oil Rosin (TOR)/Gum Rosin anijuze kwa hapa Tanzania.
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Nauza page ya fb ina followera 23500 ipo active kinomaa Sababu za kuuza:Nauzia shida tu ndugu zangu Sent using Jamii Forums mobile app Update:,imefikisha watu 24000
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nauza Airpods na smart Bracelets kwa bei ya January 2020. CHECK ktk list then ufanye chaguzi ili tufanye biashara Upande wa Airpods Brand zilizopo ni hizi hapa QCY— QS2, T3 & T5 Bei ni —...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza sata HDD for desktop computer yenye uwezo wa 500gb. Kwa wapenzi wa nyimbo ina nyimbo zaid ya 12000, elfu kumi na mbili. Bongo fleva zote za zamani zote na za sasa Gospel zote Country...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nauza simu aina ya Tecno Spark 2, bei 130,000/= ipo maeneo ya Mabibo, Dar, mawasiliano 0719464841 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini,Wale wanaohitaji pikipiki used made in japan tuwasiliane tuanze na hii ya hapa Chini Type/Model of Motorcycle DT175 Yamaha Fuel used Petrol Engine capacity:171,two stroke Year of...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna shamba linauzwa lenye ekari 5.5 hectres, 2.5 hectares zimepandwa miti ya mwaka mmoja na sehemu iliobaki imesafishwa tayari kwa kilimo chochote. Eneo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sofa Ya Watu Wawili Na Mito Yake Hiyo Hapo, Imetumika kwa Miezi 6 Bei: Tsh.220,000 Niko Dar Kigamboni, Sitaki Nikihama nibebe Vitu vyote Vya Ndani Mob:+255 718 295 182...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana Jf na wakazi wa Dodoma.! Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa, Tsh. 2000/= @ 1 litre Monthly Bills na Discount Kwa Maziwa mengi inapatikana. LOCATION: Dodoma Mjini Info; PM Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Njoo ujichukulie kabati la milago 3 bei ikiwa imepoa sawa na bure. Upana : Futi 4" 1' Urefu : Futi 6" 1' Milango : 3 Bei : Laki 2 na Nusu tu (Tshs.250,000.00) Kabati lina Kioo cha kujiweka sawa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mahitaji ya [emoji117]mashine [emoji117]magari [emoji117]pikipiki [emoji117]mbao [emoji117]mkaa Ntapokea asilimia tano ya mauziano kutoka kwa mnunuzi kama faida yangu. Pm UAMINIFU NI MTAJI
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Lipo katika hali nzuri (karibu ukague gari) Lipo Mabibo Lina milango mitano 1990 cc Bei ni Tshs 3.4M (negotiable) Call or text: 0692141994
0 Reactions
12 Replies
3K Views
iPhone 6s Storage 64 gb Battery life 100% Fingerprint work perfectly Haina crack Bei 370,000 Tshs Call 0717 916063
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza Laptop HP PRO BOOK imetumika miezi miwili (2) tu. SPECIFICATIONS INTEL CORE i5 RAM 8 GB 64 BIT WINDOW 10 PRO STORAGE 1 TB Bei: 600,000 Contacts: 0713418321
0 Reactions
4 Replies
938 Views
Njoo PM bei yakutupa kabisa, anaeuza best jamaa yangu kwahiyo nitakuungnisha nae
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nahitaji housing ya EVERNAL feni ya ukutani vikiwa kwenye hali nzuri, kwa yoyote atakayekuwa navyo tuwasiliane 0659-358-599
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Zenu Machief! Taarifa Ni Hii... Kwa Mahitaji Ya Vyumba, Nyumba, Viwanja, Mashamba, Plot,Yard, Godown/Warehouse,Ofisi ya biashara, Frem, Beach, magari (usafiri wowote) n.k sehemu Yoyote...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Scientific Calculator used zikiwa katika hali nzuri kabisa zinauzwa...!! Moja ina mfuniko kwa 20k na Nyingine haina kwa 15K. Karibuni kwa huduma ya faster nichek 0738294674 wahi faster nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
857 Views
Back
Top Bottom