Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyeusi 32gb Imetumika wiki 250k Ipo mbagala Kariakoo nakuletea 0753 815343
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Phantom 9 New Ram 6 Strong 128 Full box Aina kipengele Bei 450,000 Number 0674621806 Location: Morogoro
0 Reactions
1 Replies
863 Views
Habari... nimehama mbeya, nimeacha kitanda na godoro 4*6 nimetumia mwezi mmoja(20days)... bei 150k fixed... karibuni..kama utahitaji kukiona tiwasiliane 0742900511
0 Reactions
2 Replies
734 Views
Hello Wateja wangu Karibuni katika biashara yangu ya Dagaa wa kukaanga kutoka Jijini Mwanza. Tunauza dagaa wasafi na walioandaliwa katika mazingira safi. BEI ZETU Tunaanzia pakti kwa Tshs elfu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wajanja na matajiri dunian huvaa plain tishrt kali machata chata tuwaachie washamba 100 cotton Haipauk Haichuji Haivutiki Jumla 9000 Rejareja 10000 Tupo dukani Mtaa wa Pemba na Livingstone...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza viwanja Eneo la Msongola Mlandizi vyenye ukubwa wa kutosha na kwa kuwa Msongola ni Mji unaokua kwa kasi hautajutia pesa zako. Panafaa kwa kilimo na ufugaji. Pia, kwa mawasiliano 0620639519
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Pata kabati na sofa,vinauzwa...vipo Dar Kabati Tsh 150,000/= Sofa Tsh 150,000/= Call 0714260266
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Simu bado mpyaa kwa 300k tu (fixed). Ina RAM 4GB, Storage 32GB, na ina fingerprints. Nichek watsapp 0659426390 tufanye biashara
1 Reactions
0 Replies
635 Views
DIATROM[emoji768] 50 is suitable to light monopolar pure cut as well as cut/coagulation and coagulation. Under microcontroller watch it has the maximum output linearity, safety control allowing...
1 Reactions
0 Replies
478 Views
Mashine ya kisasa (Home made) ya kufanyia mazoezi ya viungo inauzwa. Kupitia mashine hii unaweza kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti. Mazoezi ambayo unaweza kufanya kwa kutumia mashine hii ni...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Dar es Salaam, Tanzania canon i sesny 5880-550,000/- canon 2018 - 950,000/= canon 1024 ir - 670,000/- hp 1415- 550,000/= (colored and black and white)- laserJet Hp 1212 mfp (printer, copy and...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Tank aina ya polytank used linauzwa Mahali : Kimara mwisho, Dsm Ujazo: Litre 2000 Bei: 180,000 Bado lipo vizuri sana,nauza sababu nataka kununua kubwa zaidi. Linafaa kwa shughuli zote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Niko Mbeya Imetumika mwezi mmoja tu,ipo katika hali nzuri sana bado ina upya wake,ichukue kwa Tsh. 85,000 tu ,maelewano yapo nicheki kwa 0767142928 Utapata dstv decoder,remote yake,dish lake,waya...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
#MYMBARALI_NOTES_BOARD PATA KIAZI AINA YA TIGO ZIPO GUNIA ZAID YAMIATANO HATA UKITAKA ZAIDI YA APO BEI 18,000/=@GUNIA ENEO: INTOKYELA-TUKUYU-MBEYA CALL: 0763770207
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwa anaye hitaji adsense accounts ambazo ni non-hosted anicheki kwa namba zangu 0756888069 | 0718268014 , Kila account pamoja na site yake ni 100,000/= . Kwa uaminifu nimefanya hii biashara na...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Karibu mwana jf ujipatie meza ya chakula yenye viti vyake vi 4 meza hii ina rotate pia ina mabble ni ya kijanja zaidi BEI ya beza hii pamoja na viti vyake ni LAKI 550,000 kwa mteja #serious apige...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nina account ya adsense ambayo iko active, sijaitumia kwa muda baada ya kuwa busy na shughuli zingine na kuacha blogging ina dolla 24.19 bei ni maelewano tu njoo PM tuzungumze
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nazi zinauzwa kwa bei ya 400 kwa kila nazi, zipo takribani nazi 250. Zipo Vikindu Mkuranga. Pm kama unahitaji Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Poultry cage nipples kwa ajiri ya kunyweshea kuku maji, incubator ndogo za mayai 48 na mayai 96. Na spare za incubator. Tupo machinga complex 4th floor,kkoo dar es salaam. Contacts. +255 657 705...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom