Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Simu aina ya Nokia 2 inauzwa. Imetumika mwezi mmoja tu na ina full documents. Simu pamoja na accessories zake: cover (autofocus), charger USB, ear phones. Bei 280,000 TZS maongezi yapo kiduchu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Friji aina ya hotpoint inauzwa dar mbezi beach goba road 370000 laki tatu na sabini tu ipo vizuri mfumo wake wa kupoza ni mkali ndani ya nusu saa ishapoza 0762612213 SMS/call Projector aina ya...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwa anae hitaji Hard Disk 500GB kwa Bei Poa just 45,000Tsh nichek 0767322193
0 Reactions
1 Replies
579 Views
Ni mashine aina ya Boss!! Ina hitirafu kwenye Pump( valve zimeungua na zinapatikana kariakoo) Nakupa na vifaa vyote Bei 350,000/= Mazungumzo yapo!! Sababu ya kuuza!! Kijiwe kimekufa na sina...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Mpya Tsh 35,000 Verified Tsh 60,000 Ni pm kama unahitaji
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nauza printer 4 in one yani ina scan,copy,print na fax kwa shilingi laki 760000, imenumuliwa mwaka jana kwa milioni 3 , hii ni Canon MF i5980dw ni wireless unaweza print bila kuunganisha...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Ninauza samsung yangu tab 4. 180,000 TZS....ina cracka kwenye kioo ila haina tatizo lingine...iko sawa kabisa. Nimeweka bei ya chini coz nahitaji hiyo pesa haraka. Situmi mikoani..nipo wa azizi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
LUCIA Eau De Toillete(women) The aura of serenity Floral fruity green Price/bei 74,000tsh Sample zake pia Kwa mawasiliano whatsapp/text to 0759827138
1 Reactions
65 Replies
6K Views
Used almost 2 month Vodacom only, wataalam wanaa unlock Model R206-Z Price 35,000 Tshs DSM.. Comment or PM
0 Reactions
2 Replies
734 Views
Kwa mwenye uhitaji wa Maza ya Pc na Kiti Chake Tsh 230000 anicheki Nipo Moshi 0767322193 or 0621359204. Serious buyers only
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam humu ndani Nawaletea eneo lenye nyumba ambayo imefikia kwenye linta imebaki kupiga kenchi tu eneo ni kituo kipya loliondo kibaha maili moja ukubwa Wa eneo ni square meter 25x20 bei yake ni...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Najua ubize wa kazi na majukumu ya kila siku imekua ni changamoto kwako kuweza kufanya mazoezi ya mwili,wakati mwingine unafika nyumbani muda umekwenda sana na kushindwa kuhudhuria gym,sasa sisi...
1 Reactions
35 Replies
50K Views
Kuku wa nyama aina ya kroila, wamechanjwa chanjo zote. Wana miezi mitano na wengine miezi mitatu nawauza kwa jumla. Wamefikia umri wa kuanza kutaga. Sababu ya kuwauza ni kwamba nahamia mkoani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Bei 300000 vyote kwa pamoja Vinapatikana Morogoro mjini maeneo ya kihonda mbuyuni. Mteja wa haraka anahitajika Mawasiliano 0763615586 au 0621058400
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Ofa ofa Ofa ofa Ofa ofa Ngomemachine wanakuletea toleo jipya la mashine ya kupukuchua mahindi kwa jina inaitwa kungula Inapukuchua mahindi Tani 2.5 ndani ya saa moja. hivyo ukipukuchua kwa masaa...
1 Reactions
6 Replies
861 Views
Device- Mi redime note 4 Ram 3gb Internal 32gb Miui 9.5.3.0 Battery capacity 4100mah Price Tshs 400k maongezi yapo Location Dar 0656921772 Clean condition Suitable for heavy users
2 Reactions
0 Replies
751 Views
Jiko la umeme used lenye plate nne linauzwa kwa bei ya Tsh 130000 Lipo maeneo ya mbezi Beach goigi. Lina ovena pia.. Na ni zima ispokua plate mbili ndo hazifanyi kazi ni za kubadili.. Kwa anae...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom