Wasiliana nami kama unahitaji Mali hizi kwa namba muda wowote....
or
WhatsApp 0652576717
1.Kitanda Full chuma + Godoro full nyama (inch 8)
Vyote Size ni 5×6
Tsh 390,000 vyote kwa...
Nyumba nzuri yenye uimara inauzwa
-ina vyumba vitano vya kulala
-ina ukumbi mdogo wa sinema
-ina nyumba ndogo ya wafanyakazi
-ina ofisi
Iko latika eneo la ukubwa wa 4329 sqm
Eneo ni mbezi juu...
Habari wakuu,
Nauza laini za uwakala, ziko mbili ya tigopesa na airtel money. Zote naziuza kwa Tshs.300,000/= ama kwa moja moja tigopesa nauza Tshs.180,000/ na airtel money nauza Tshs.120,000/=...
Mzigo huo, changarawe mahsusi kwa wachimba visima na wajenzi zinatumika kuweka floor ya tarazo na linta pia mzigo upo mwingi kama unahitaji nicheki inbox kwa maelezo zaidi na bei, nauza kwa piece...
Habari wakuu,
Nauza majiko ya kisasa yanayotumia mkaa kidogo kutoka kampuni ya burnstoves.
Yapo matatu na kila moja nauza Tshs.100,000/= kama una pungufu unaongea.
Nipo Dar es Salaam,
Namba...
Friji kubwa kabisa used aina ya Samsung yenye milango miwili inauzwa kwa bei nzuri tu ya shilingi laki 450,000/= pia mazungumzo yana ruhusiwa.Friji bado ipo kwenye hali kabisa.Kwa serious buy...
Pichani ni asali ya nyuki wadogo halisi kwa asilimia 100
Ukitaka kupima kabla hujachukua ni sawa
UKITAKA KUJUA UHALISIA
>chachu
>nyepesi
>rangi ya kahawia
MWENYE kuhitaji 0683936934
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.