Good condition
-18PPM
-Print , Copy , Scan and Fax (phone option)
-Low Noise level
-Low power consumption (power saver) auto sleep on
-Handles A4,A5&B4 paper
-Weight 8Kg
Main advantage saves...
Tunauza vifungashio vya plastic vilivyo bora kabisa na kwa bei nafuu.
Vifungashio tulivyonavyo kwa kiitaalamu vinaitwa plastic zip bag.
Vipo vya ujazo tofauti kama inavyoonekana hapo chini na bei...
Ps3 250gb storage with 5 Games inside, 2 pads and full accessories For Sale Tsh. 350,000 Maelewano yapo. Nicheki Whatsapp Tu kwa 0625612638 au 0677888412
salaam...
kama unahitaji UPS used kwa bei rahisi ya kutupa njoo pm au weka comment hapa.
picha zime ambatanishwa.
nb: battery imeisha, itabidi ui-replace kabla hujaanza kuitumia.
sina...
Naitaji dishi na decorder yake campany ya AZAM nipo mwanza hata used nachukua ili mradi iwe poa ktk shughuli zangu za kuonesha mpira bei chip
0753358283
Jaman mwenye simu ya haloteli yyoyote kutoka shop naomba anicheki tufanye biashara ....nahitaji has a has a smart phone ya haloteli
Anicheki kwa hii no..0625873353
Mabadiliko ya technologia yamefanya ufanyaji kazi wetu wa biashara ubadilike sana,kuna biashara ambazo zimekua kwa kiwango kikubwa kwa muda mfupi,na kuna biashara zimeanguka pia bila...
Tecno j8 bado ipo kwenye hali zuri kabisa
Camera front 8 megapixel second 13 megapixel
Storage 16GB ram 2GB display 5.5 Inch ipo fresh Bei ni 170000 tuuuu
You’ll find tons of helpful tips and articles for singers in my new book 101 Letters from a Vocal Coach, now available in paperback from Amazon, Barnes & Noble and Lulu. For more info and for...
Tuwasiliane kwa Mwenye uhitaji wa hizi bidhaa;-
Display ya miwani inauzwa 300,000 INA Display miwani pc 105(mia na tano) kwa wati mmoja.
Ni kubwa, na juu kabisa INA vioo viwili.
Inafaa kwa mtu...
CHEREHANI YA KUTUMIA MKONO yenye ukubwa wa Stepler pin machine ambayo unaitumia kushona palipochanika/kufumuka kwa urahisi. Inashona kama cherehani ya kawaida.
Haitumii betri
Rahis kubeba...
Kiwanja chanika bwaja dakika 5 kutoka barabara kuu.
Ukubwa heka 1 na nusu
Hakina udalali
Bei mil.20 tu.
Kiwanja kipo eneo tambarare na zuri unaweza ukakitumia pia kama shamba.
Piga 0629992942
Habari wakuu ,
Tunauza mikoba ya ngozi, bei ya rejareja ni Tsh. 35,000/= na jumla itategema na idadi unayochukua. Ukihitaji karibu dukani kwetu Tegeta Dar es salaam au wasiliana nasi...
Habari wana jamvi
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji display ya samsung s8 kutokana na simu yangu kupata hitilafu kidogo,
Kwa yoyote aliyonayo hata kama ni used tuwasiliane
0758728258
Habari wana JF
Ninauza asali mbichi, Jumla na rejareja
Asali haijachakachuliwa yaani haijaongezwa chochote
Nauza kuanzia ujazo wa robo Lita hadi Lita 20
Robo Lita Tsh 3000
Nusu Lita Tsh 6000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.