Usikubali kuingia 2024 bila kumiliki kiwanja. Pata kiwanja kibaha kwa Mfipa kwa mil. 2.5
Kutoka main road ni km.1.5
Huduma muhimu zote zipo
Wasiliana nami
0685223804
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado...
Habari
Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19
Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo
Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma...
Kiwanja kipo maramba mawili eneo la king’azi, ukubwa 23 kwa 20,
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari,
2. Hakipo mbali na Barabara ya tanroad inayotokea maramba...
Nauza kiwanja cha viwanda vidogo DODOMA mjini eneo la Nala CHINANGALI, block EE, tazama kwenye picha kiwanja namba 384 SQM 3954, ni hatua chache toka barabara kuu ya kwenda singida, kiwanja kina...
Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini
Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi
Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya...
Karibu vikindu pwani wilaya ya mkuranga mtaa wa malela kisayan ujipatie kiwanja Kwa Bei nafuu ukubwa wa eneo ni futi 50 Kwa 40 Bei laki sita na huduma zote za kijamii zinapatikana Kwa muhitaji...
NAUZA KIWANJA UKUBWA WA MITA 20X20 (400SQM) KIBAHA KONGOWE, UMBALI WA KM 1 TOKA STAND/MOROGORO ROAD, BARABARA MAJI NA UMEME VIMEFIKA
BEI NI 5.5 MILLIONS
SIMU [emoji338]0784325299
Karibuni wateja wetu viwanja na mashamba Arusha , tunamaji ya chai kikatiti , king'ori na East Africa.
Viwanja ni vya bei nafuu.
Unaweza kununua au kulipa kwa awamu.
Ila kuna kiwanja muungano...
Salama wakuu?
Nauza kiwanja Mtwara Mjini bei 6Milioni.
-Kipo magomeni, 1 km kutoka stendi kuu ya mabasi Mtwara.
-kuna banda watu wanakaa
-kipo jirani na chuo cha afya COTC
-Kimepimwa sqm 317...
Habari wana jf nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 50 lipo Dodoma wilaya Chemba kijiji cha Majengo kata ya Parang. Umbali kutoka barabara kuu ya Dodoma Arusha ni km16 bei ni sh.250000/= kila ekari...
Nauza Heka 3 zipo Kibaha
Zina hati zimepakana na barabara ya kwenda Morogoro. Heka moja nauza mil 300 eneo ni zuri sana kama unahitaji piga sim no 0659161693. Karibuni sana
Habari za majukumu wananch!.
kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe..
eneo ni tambarare
ukubwa 30m*70m
Bei mil 24.5...
Wapendwa wateja tunavyo viwanja na heka maeneo yafuatayo.
Kikatiti , Maji ya Chai, King'ori .
Viwanja vya king'ori vinaanza kwa ml 4.5.
Kikatiti viwanja vinaanza ml 4. Maji ya chai ni ml 7 mpaka...
Nauza kiwanja changu niki kizuri kipo Iringa mjini maeneo ya Tagamenda karibu na shule ya secondary Tagamenda
Ni kilomita chache kutoka ipogolo stand
Hatua 28 kwa 20
Bei Tsh 1,500,000...
Habari
Nauza kiwanja changu ambacho unaweza jenga nyumba ya makazi chenye ukubwa wa miguu 20 kwa 19 maeneo ya Kibaha kwa Mfipa. Tshs 5,000,000.
Kutoka Kwa Mfipa stand hadi kwenye Kiwanja kwa...
Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili
Kila kimoja ukubwa squire meter 400.
Bei kwa kimoja milioni tatu.
Kwa vyote viwili milioni 5.
Km 5 kutoka morogoro road
Barabara nzuri ya...
Nauza kiwanja kipo Mapinga Amani
Kipo upande wa Bahari karibu na Beach
Sqmter 1200
Huduma zote zipo, mtaa umejengwa vizuri,low density
Ni Km 1 kutoka Bagamoyo Road
Bei million 24
Maongezi yapo...
Kwa mara nyingine eneo lenye ukubwa wa heka 20 linauzwa Morogoro ni umbali wa km 25 toka Msamvu kuelekea Iringa pembeni ya highway upande wa kulia nguzo za umeme zipo jirani bei milioni 60...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.