Habari!Karibu Tongilo Trust solution wauzaji wa viwanja vilivyopimwa na unqkopeshwa bila dhaman yeyote. Unaruhusiwa kulipa Kwa awamu.
[emoji1753]PATA BEACH PLOTS Kwa Million 6 Tuh (Installments 12...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
Bei million 13
kwa mawasiliano zaidi...
Kiwanja nakiuza mil 5( maongezi yapo)
Ukubwa wake ni hatua za miguu 25 upana, 25 urefu.
Kipo Nyashishi nyuma ya Mwabebeya shule ya msingi, documents zilizopo ni karatasi ya serikali ya mtaa Bado...
Kipo ukonga msimbaz miguu 28 kwa 58 kina mawe ya serikali yamtaa bei milion 6.5 maongez yapo umeme maji upo ni dakika 15 tu ufike gereza la ukonga yaan main road mawasiliano 0763932278 .
Viwanja vizuri kwa makazi vinauzwa block 19, Kibada wilaya Kigamboni. Viwanja hivi vina sifa zifuatazo:
1. Vipo katika eneo zuri kwa makazi vikizungukwa na makazi yaliyopangiliwa na yenye kuvutia...
Habari wakuu, kwa mahitaji ya viwanja Dar , karibu uhudumiwe na ABC properties, kwa malipo ya cash au kidogo kidogo, kuna viwanja vya
Mbagala mvuti
cash ,sqm 1=13000
miezi 18, sqm 1=15000
miezi...
Nauza Viwanja kwa bei nafuu .
10 kwa 10 ml 1500000
15 kwa 10 ml 2500000
Hivi vipo karibu na barabara ya huko sio lami
Ndani kwa ndani
Ml laki 1 unapata 10 kwa 10
20 kwa 20 ml 7 mpaka 10ml
Heka...
Kiwanja kinauzwa, kipo Bunju A Stand ya Shule. Ukubwa wa kiwanja ni mita 20 x mita 26, sawa na SQM 400(makadilio), Bei ni TZS Milioni 8.
Eneo hili ni tulivu na lina mazingira mazuri. Kiwanja hiki...
Viwanja vilivyopimwa kwa makazi vinauzwa...Viko Gezaulole karibu na Islamic beach (Mita 920 toka beach).Bei ni 40,000 kwa square meter na utapatiwa hati yako bila gharama za ziada. Kwa kutembelea...
Habari za leo, Tunauza viwanja vilivyopimwa kuanzia square meter 500 na kuendelea. Viwanja hivi vipo kigamboni Cheka, Mwasonga na Kimbiji.
—Kwa Mwasonga square meter1 ni elf5
—Kwa cheka square...
Habari zenu wakuu
Kiwanja kinauzwa kigamboni njia ya kwenda changani beach
Dege kituo kinachofuata
Kiwanja kimepimwa na kina hati
Huduma zote za kijamii zipo
Ukubwa wa kiwanja ni 587 Sqmt...
Habari za majukumu wanazengo
mada inajieleza. Viwanja vipo miti mirefu, Malimbe-Mwanza
Ukubwa 70×35m, kimoja kina hati ya ardhi na relevant document kinauzwa 55 mil.
Cha pili hakina hati sababu...
Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka.
kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba.
Ukubwa ni 45 kwa 35 metres.
Bei ni million 30 tu.
Umbali kutoka barabarani ni km 2...
Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30.
Bei ni milioni 14
Nyaraka Serikali za mitaa.
Huduma zote za kijamii zipo
0762282526
VIWANJA VIPO UWANJA MPYA WA DODOMA - MSALATO UPANDE WA KITELELA, NA INAPOJENGWA BARABARA YA MZUNGUKO RING ROAD BEI KUANZIA 1,000,000 MPAKA MIL 2 UKUBWA NI KUANZIA SQM 500 HADI 1,600 MAWASILIANO...
Location: Songea Mjini (Mateka)
Ukubwa: nusu hekari
HATI miliki IPO
Umeme, maji
Bei ni 6 million
Contact: 0758234233
Mbeele
..
,.
NYUMa
Umbali ni kama dakika 5 tu Toka Songea Mjini(Usafiri
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga &...
Nauza kiwanja Kibamba Gogoni Dar, ukubwa wa mita 20 kwa 20, umbali wa km 1 toka stand /Morogoro road, miundombinu ya maji na umeme pamoja na barabara vipo.
Bei ni 8 millions(mazungumzo yapo)...
Shamba lipo Chalinze Pingo,usawa wa kiwanda cha tiles.
Km 4 kutoka Morogoro road.
Katika shamba kuna kijumba cha vyumba viwili choo na bafu
Ukubwa eka 8
Pote milioni 12
Panafaa kwa kilimo na ufugaji
[emoji95]VIWANJA KIGAMBONI MWEMBE MDOGO[emoji95]
UMBALI
[emoji3502]Km 22.6 kutoka Ferry.
[emoji3502]Km 24 kutoka kigambon Darajani
[emoji3502]Kutoka Kibada Center ni kilomita 15 hadi site
SIFA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.