Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

JAMANI WATANZANIA WENZANGU MIMI NIMETEMBEA TOVUTI YA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA, NIMEJIONEA MATANGAZO YA KUITWA KAZINI KWA WALIOFAULU USAILI WA MWEZI JUNI 2012. PIA NIMEONA...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Jamani kila siku najiuliza kuhusu mtihani wa mchujo wa utumishi, unakuwa na mhundo gani? maana watu ni wengi na wanasiku moja ya kusaisha na kuwainterview waliopasi. Kama kuna mdau amewahi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa wale wote ambao wameomba kazi kupitia secretarite ya Utumish, tafadhali uwe aware na idadi ya watu wanaohitajika katika hio post husika kwako. La sivyo unaweza kutapoteza nauli ,na wengi...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Mnaendeleaje na Semina zenu?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba msaada kwa hili> Hivi wale wanao maliza Procurement and Supplies nao wanakuwa ktk kundi la wahasibu? Maana kuna Muajiri mmoja aliniuliza swali kuwa nina sifa ya ihasibu? na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani wadau naomba kwa yeyote ayejua nafasi za kazi zinatoka lini kwenye hizo sehemu nilizozitaja aniambie.Najua kuna watu wengi wa kila namna hapa jukwaani.Nataka kumpeleka mdogo wangu kwenye...
1 Reactions
11 Replies
13K Views
Nimehangaika sana kutafuta chuo kwa ajili ya kujifunza operator wa caterpilar, kwa yeyote anayefaham hilo anijulishe tafadhali.
0 Reactions
7 Replies
15K Views
Makarani waliochaguliwa kwa vigezo walivyoviweka wakubwa wa nbs leo ilikuwa patanikushika ktk Sehemu zao walizoziteua kwa mafunzo manispaa ya ilala . Polisi waliofika kuzima fujo pia walionekana...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mie ni msomi ambae nimehitimu masomo na nipo kusubiri nafasi za kazi ambazo nimeomba maeneo mbali mbali. Hata hivo nilipenda sana niweze kujiajiri. Naomba mawazo yenu wapi pa kuanzia? Sina mtaji...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
WAKUU, natafuta kijana mwenye uzoefu wa kufanya kazi za stationery ikiwa ni pamoja na kutumia machine kama compyuta, photocopy, kubind, kutype na shughuli zote kama hizo. Pia ajue kiingereza na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wanajamvini, kama kuna mtu ana any update kutoka TRA zile nafasi za accountant assistant. Naomba tufahamishane.:israel::spy:
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mimi ni miongoni mwa wasailiwa wa chuo cha hombolo naulizia je hombolo hajafunguka maana nina interview tarehe 28 na 31 mwezi huu sehemu nyingine lengo na nia ni kwamba kama hombolo wamenipatia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mkataba kwa makaran wa sensa walioingia na NBS ulikuwa ukiwataka kupewa posho ya 380, 000/= lakini kwa Temeke, mbagala charambe, Tandika ila wametoa 140,000/= badala ya 380,000/= kwa dodoso refu...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
If you are a good electronics engineer, I need you to fix my equip just for a day. My No. 0657992268.
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Local Catering Services Company is inviting Tanzanians with the following attributes to apply for Quality assessor and Control post: Work station is Geita PROFESSIONAL AND INTERPERSONAL DETAILS...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu kuna mkanaganyiko mkubwa sana kati ya AJIRA NA KAZI, na ukisoma baadhi ya vitabu vitakuambia hakuna tofauti ila baadhi vinakuambia kuna tofauti kubwa sana, KWA NILIVYO KUTA TOFAUTI 1...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau naomba kusaidiwa hili, Graduates wanao maliza degree ya procurement and supplies nao wanawekwa katika kundi la wahasibu? Maana kuna mtu aliniuliza hili swali nikashindwa kumjibu baada ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jamani,hivi kpmg walishaita watu kwa ajili ya interview?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Ni mwaka na miezi kadhaa nilikua mtaaani bila kazi ila kwa msaada mkubwa wa JF kupitia categori ya Kazi na Tenda nmeweza kuona job adds ambazo nyng nmekua nikituma na hatimaye nmefanikiwa kupata...
16 Reactions
35 Replies
3K Views
Our client, Kabanga Nickel Company Limited (KNCL), is a Tanzanian-based company established to oversee the operations of the Kabanga Nickel Project (the Project), a 50/50 joint venture between...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom