Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Natafuta kazi ndg zangu kwa mwenye kazi yoyote aniunganishe au anipatie, elimu yangu form 2.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hi Members of JF. I am looking for a job. Here under is my qualifications in summary:- Have recently completed Masters of Business Administration from the University of Dar es Salaam (First Year...
2 Reactions
81 Replies
8K Views
Jamani wana JF. Ifikie wakati tuwe serious na matangazo ya kazi mnayoweka! Mtu anaweka eti nafasi za kazi,anaweka chanzo mfano eti ni gazeti la Mwananchi,ukienda kulinunua unakuta hamna kitu mle...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF, Mwenye habari juu ya kuitwa kwenye oral interview, wameanza kupiga simu?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Mimi ni msichana nina certificate ya ualimu wa chekechea nimesoma montesory mwanza .naomba msaada wenu wananchi katika ujenzi wa taifa letu .naishi dar
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa anayetaka nyumba katika maeneo hayo tuwasiliane 0755 099 291, 0657 14 55 55, 0686 200 117 . nyumba kwa ajiri ya makazi au ofisi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu mimi niliitwa kufanya interview kwenye shule fulani hapa mbeya inaitwa umoja primary. Baada ya wiki mbili nilipigiwa simu na mtu ananiuliza ww ndo fulani nikasema ndiyo lakini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cabin Crew:40 post
0 Reactions
30 Replies
11K Views
Habari JF? Nime graduate BSc Computer science kwenye chuo kimojawapo nje ya nchi.. Ningependa kufanya kazi nyumbani Tanzania, kwa hiyo ninaomba mwenye taarifa za zitakazowezesha kupata kazi ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
VACANCY ANNOUNCEMENT The Principal Commissioner of Immigration Services announces vacant posts in the Immigration Department. Any Tanzania Citizen with minimum qualifications mentioned hereunder...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hallow jamii forum tanzania. kampuni ya zenith Training inajihusishana mafunzo ya komputa na project tofauti inahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kujieleza, kuongea kingereza, wenye kupenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nasikia Idara ya Uhamiaji wametoa nafasi. Inasemekana gazeti la Mtanzania la leo zimemwagwa humo. Mwenye access nalo atumwagie humu wenye nia na kazi hizo wajaribu bahati zao.
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Naomba kuuliza hivi hawa wageni hupata pata vipi ruhusa za kufanya kazi nchini? Tanzania kwa sasa imejaa watasha na wachina. Ajabu wote hawaongei lugha ya nchi na wachina wengine hata kiingilishi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi. Nina-design nembo(logos). Pia naweza kuboresha nembo unayomilki. Ila sijhusishi na design zinazohusu kampuni au bidhaa zinazohusika na ulevi, kamari na vitu kama hivyo. Hii ni katokana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Position: Creative Graphical Designer Report to: Chief Executive Officer Hours: Full time Employee. Salary: TSH 650,000 Creative Graphic designer job is a creative job which has a high visual...
1 Reactions
0 Replies
857 Views
Position Title: Digital Printing Manager Reports To: Chief Executive Officer Hours: Full-time Salary: TSH 650,000 Net. SUMMARY: The Digital Printing Manager oversees and manages the day-to-day...
0 Reactions
0 Replies
978 Views
wanajamii please nifahamisheni kama udom imeishaajiri wale walioitwa kwa awamu ya pili( oral interview)
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa yeyote aliye na nafasi ya uuguzi au utafiti wa afya nipo tayari kufanya kazi hiyo. Nina uzoefu wa miaka 5 katika hospitali kubwa za serikali. Kwa sasa nimehamia dodoma na ninatafuta kazi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wengi wenu mumesikia kuwa Jwtz wametoa nafasi kwa wale wenye vipaji vya..... kucheza ngoma za asili. Kupiga ngoma za asili Kupiga gitaa Kupiga kinanda Kupiga Drums Kila kihusianacho na...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom