Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

kuwa mwamuzi wa mwisho wa maisha yako, Wasiliana nasi 0713 220 424
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wandugu habari naombeni msaada jamani natafuta kazi ya procurement and supplies management. Nina degree ya procurement and supplies management.. And nina malizia proffesional stage ya research...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna tenda zilitoka juzi za vitu mbali mbali ila sijaona vijana wenzangu wakizichangamkia, naweka tena hapa labda una mtu unaemfahamu. Wasilaiana na watu wa Africare . Kuna wachache wa JF...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF, Hii topic imezaliwa baada ya member mmoja kumpa ushauri member mwengine katika moja ya hot threads hapa. ushauri wenyewe ulikuwa ni kutafuta kazi za kusomesha katika business...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
habari zenu wanajamii...me ni msichana mwenye umri wa miaka 25 nimegraduate bachelor of business adminstration last year! natafuta kazi katka mkoa wowote hapa tz! nawezafanya kazi ktk depatment...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
NAFASI ZA KAZI UTUMISHI APRIL 2012 Ref. Na EA.7/96/01/B/51 13th April, 2012 VACANCIES ANNOUNCEMENT The Public Service Recruitment Secretariat was established in accordance with section No.29...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
naomba mnijuze wanajamiiforum, research officer ll, agro-officer ll na wakufunzi walishaitwa kwa usaili wizara ya kilimo? Nawasilisha nipo bush magazeti hayapatikani kiurahisi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Do you want to make money online?? --ITS FREE --NO BANK DETAILS NEEDED --NO REGISTRATION FEES VISIT(OR CLICK ) THE RED LINK BELOW http://signup.wazzub.info/?lrRef=d56aa5e9
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nafasi ambazo hazikuwekewa idadi ktk jeshi la Magereza zimetangazwa leo ktk gazeti la Daily News.NAFASI HIZI NI KWA VIWANGO VYA ELIMU kuanzia Degree hadi waliomaliza kidato cha nne kwa kwa kupata...
2 Reactions
19 Replies
15K Views
Mimi ni mgeni katika jukwaa hili, naombeni msaada wenu nipo Arusha na nina tafuta kazi hata kwa mtu binafsi nitafanya si lazima serikalini.Professional yangu ni Receptionist, Secretary and...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF kama una ndugu au jamaa aliyekuwa ameomba kazi utumishi, wametoa maelfu ya majina na kutangazwa kwenye gazeti la daily news la leo Ahamisi (12/04/2012). Hivyo wajulisheni wapendwa wenu ili...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Taarifa nilizonazo mpka muda huu ni kuwa wanajeshi wenye elimu ya stashahada au diploma wanatarajia kuanza usaili tar 16/04 mwaka huu. kwa haraka haraka ni kuwa wanafikia kama 200 hivi ambao...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari wakuu, nimeitwa kwenye usaili na secretarieti ya ajira katika utumishi wa umma. Nafasi ya afisa uchunguzi daraja la pili ofisi ya secretarieti ya maadili ya viongozi wa umma. Naomba kujua...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hellow JF members,natafuta kazi ya customer service kwnye kampuni au mtu binafsi,elimu yangu diploma,nimehangaika japo sijakata tamaa,mwenye nafasi asinisahau,asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
waajiri wengi wanapendelea zaidi kuajiri walio na shahada za nje ya nchi hata kama ni za lower grades? kama ni kweli, ni kwa nini hasa?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwenye gazeti husika naomba aniwekee nafasi za advans bank,kuna mtu kanidokeza,pia kama kuna nafasi nyingine sio mbaya akatuwekea
0 Reactions
6 Replies
5K Views
majini ya watumishi ambao madeni yao yameshindikana kulipwa kwa kukusekana kwa akaunti zao za benki SOURCE; Majina ya Watumishi ambao madeni yao yameshindikana kulipwa kwa kukusekana kwa akaunti...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kagera Development and Credit Revolving Fund (KADETFU) is a National Non-Governmental Organization (NGO) that is based in Kagera region, it is located in Bukoba town, in the North western part of...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
we are looking for a librarian in bagamoyo.send your cv to: bkitandala@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
914 Views
we are looking for a librarian.send your cv to:bkitandala@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Back
Top Bottom