internet

  1. C

    INAUZWA Decoder ya internet kwa wenye smart Tv

    Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.
  2. Internet provider Kwa fiber | Tabata

    Wakuu naomba kujua kama kuna fiber internet provider yeyote ambae huduma zake zinafika mpaka Maeneo ya Tabata. Naomba Contact au Website name..
  3. Vifurushi vya internet: Ina maana Watanzania tumechezewa akili?

    Nawasalimu wanajukwaa wote kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania pia nawatakia Waislamu wote mfungo mwema wa mwezi mtukifu wa Ramadhani. Niende moja kwa moja kwenye topic, lengo la uzi huu ni kuhusu hili suala zima la vifurushi au mabando katika mitandao ya simu. Kama tunakumbuka kuna...
  4. Internet provider Kwa fiber

    Nikitaka niweze Ku provide fiber niwe internet provider Kwa kijiji kidogo mfano nyumba 200.. Natakiwa nifanyeje..? Nianzie wapi?
  5. M

    Maeneo yenye Internet za Bure ( free wifi hotspots locations)

    Wadau, Kutokana na hali halisi ya vifurushi kwa sasa kuwa haieleweki , naomba tufahamishane kwa wale wanaojua njia mbalimbali mbadala za kuendelea kuwa mtandaoni bila gharama , kwa mfano wifi hotspots ambazo mtu anaweza kwenda kukaa na kutumia internet bure , hii inaweza ikawa katika public...
  6. Je walio Serikalini hawafahamu umuhimu wa internet kwa dunia ya leo?

    Internet sio anasa, internet sio jambo la option, internet ni ulimwengu kama ulivyo ulimwengu wa kifizikia, Watu waanasoma mtandaoni Watu wanafanya biashara mtandaoni Watu wanaburudika mtandaoni Watu wanasoma mtandaoni Watu wanapata taarifa mtandaoni Watu wanajuliana hali na kuendeleza mambo...
  7. Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

    Dar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa...
  8. F

    TTCL huu ndio muda wenu wa kuvuna wateja wa voda, tigo, airtel, nyinyi shusheni bei ya internet - kodi tra wanawasamehe ki siri siri

    TTCL ni shirika la uma, limefufuka ila halina wateja wa kutosha Sasa huu ndio muda wa kuvuna wateja.. serikali iwabebe kama ilivyoibeba NHIF... Tigo, voda , hallotel mtawapora wateja wote
  9. Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

    Kama upo Dar maeneo ya Kariakoo, Mjini posta, Msasani, Peninsular, Upanga, Kinondoni ya Morocco, Mikocheni, Masaki, O'bey, n.k Kuna fiber za kutosha kama zuku, Raha, Gofiber, n.k Fibre ni internet ya waya, unavutiwa waya hadi sehemu ulipo nyumbani kwako, ni internet ya waya lakini kuna kifaa...
  10. 5G speed internet in Kenya

    Safaricom will Friday launch Kenya’s first fifth-generation (5G) mobile internet services targeting major urban centres, making it the inaugural operator to offer commercial and superfast services in the region. The firm last year completed testing and trials for the upgraded network as the...
  11. The internet is undefeated: A painful lesson

    I hope this was a teachable moment. From it, they will grow through what they went through and do better going forward. They say if you know better, you do better. So I’m crossing my fingers that they will publicly acknowledge the error of their ways and promise us to do better and use some...
  12. Msaada: Nahitaji huduma ya internet

    Wakuu salama humu? Naombeni msaada katika hili. Mahali nilipo huduma ya internet kupitia mitandao ya simu haipatikani na ikitokea inasoma E kiasi kwamba siwezi fanya cha maana kwa kutumia mtandao. Naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kuunganishiwa wireless internet ili niwe natumia wi-fi...
  13. Naomba kujulishwa: TTCL internet configuration settings

    Kama ninavyosomeka hapo juu. Watz nahitaji kufahamu configuration za internet ya ttcl
  14. R

    This is too much! Internet sasa tukimbilie wapi?

    Yaan leo ndio nimechoka km hali ndio hii hii serikal sidhan km ipo kwamaslah ya wananch bali ipo kwa maslah yake yeye yenyewe Majuzi juz apo nilimsikia spika akisema kuwa sijui wapandishe kodi ili vijqna wasipate mda wa juingia mitandaon bali wafanye kaz sikujali sn nikapuuza ile taarifa...
  15. Unaishiwa bando haraka? Fahamu namna ya kudhibiti matumizi yako ya data mtandaoni

    Umeshawahi kuwa mhanga wa kifurushi chako kuisha kabla haujakusudia kiishe? Pengine umekuwa ukilalamika kuwa baadhi ya mitandao inakumalizia data zako, na hii inaweza kusababishwa na kutofahamu kiwango cha data kinachotumika kwa matumizi ya kawaida mtandaoni. Si rahisi kuweka makadirio ya moja...
  16. MSAADA: PC haisomi (haikamati) wireless internet connection

    Wasaalam wanajukwaa hili. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,nimekuwa nikitumuia simu janja yangu ku-share internet na PC yangu kwa kutumia njia ya hotspot lakini cha kustaajabisha tangu jana nashangaa PC yangu hai-connect internet kama ilivyokuwa hapo awali. Tafaddhali mwenye kujua suluhisho...
  17. The future is here? Ijue "Starlink" na "Starlink Internet Satelite"

    Starlink ni hasa? STARLINK ni mkusanyiko wa satellite za internet iliyobuniwa na kuwa chini ya mwanasayansi mashuhuli Elon Musk na timu yake ya SPACE X. Mkusanyiko huo wa satellite za internet hufanya kazi kwa kushirikiana toka satellite moja had nyingine ili kutuma mawimbi ya mtandao huku...
  18. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves)

    Tuwekane sawa, ukiwa unatumia simu ya mkononi ndani mwako, na radi zinapiga nje, hata uweke 4g radi haidhuru simu. Radi haipiti katika mawimbi ya simu (radio waves). Radi ni umeme, hivyo husafiri sehemu zipitishazo umeme tu. Jiachie na internet ukiwa ndani ya nyumba yako, ila simu isiwe charging tu.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…