mungu

  1. Msanii

    Mshtuko mkuu ndani ya CCM. Ushindi wa Lissu na Heche ni chanzo. Je, Mungu anaifuta CCM?

    Duru za ndani ya CCM zinanyetisha kuwa hali ya mtafaruku na mfadhaiko mkubwa imeikumba CCM kutokana na pigo takatifu la ushindi wa Tundu Lisu na John Heche katika uchaguzi wa CHADEMA taifa. Vikao vya wakubwa vimekuwa haviishi, na kupelekea kuleta hofu inayoweza kuzua mpasuko mkubwa wa ndani ya...
  2. Msaga_sumu

    Wakuu nisaidieni katika mawazo

    Wakuu kuna sehemu boss kahitaji watu wa finance na account kwa ajiri ya auditing, sasa tunafanya nahitaji kuuliza wenye experience unapomaloza auditing kuna uwezekano wa kupata ajira hapohapo katika kampuni hio? (Internal audit) Umuhimu wake ni upi??
  3. Mama Mwana

    Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

    Naona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Mungu ambariki Sana Mbowe. Kuanzia Leo utaitwa Master Mbowe

    Imekuwa! Kunapokuwa na mambo ya uchaguzi, mapambano ya kuwania nafasi au cheo na katika mpambano huo ukahusisha Mkubwa au Legend au mtu anayetetea Kitu alichokikalia kwa Miaka mingi kama Miaka ishirini kuendelea. Legend huyo akapambanishwa na mdogo wake au mtu wa cheo cha chini au ambaye...
  5. Msanii

    Mvua hii kubwa inayoanguka Dar ni ushahidi kuwa Mungu amemtia muhuri Lissu Oktoba 2025

    Taarifa ninazozipata kutoka ukumbini pale Mlimani City katika uchaguzi wa CHADEMA Taifa, ni kwamba Team Mabadiliko imeibuka kidedea. Hii ni taarifa njema kwa Tanzania Huu ni msiba kwa CCM Hii mvua inayonyesha inanikumbusha zile nyakati zetu utotoni, kila event yenye baraka za Mungu lazima mvua...
  6. Scars

    Hawakuweza kupata mtoto lakini kwa imani ya Mungu kupitia msaada wa mchungaji, baraka zilikuja.

  7. CARIFONIA

    Kuna kusudi la Mungu wewe kusoma huu uzi

    HESHIMA YENU WAPENDWA UNAWEZA KUSOMA HUU UZI THEN KAA UTULIE JARIBU KUTAFAKARI HATA KIDOGO KILICHOANDIKWA. Ni kosa kufikiri kwamba muda unaenda. Muda hauendi. Muda upo hadi mwisho wa dunia. Ni wewe unayeenda. Haupotezi muda. Muda hauna kikomo. Unajipoteza mwenyewe. Wewe ndio una mwisho. Ni...
  8. J

    Tumshukuru Mungu kwa Kila Jambo

    Tumshukuru Mungu kwa Kila Jambo Shukrani ni nini Shukrani au kushukuru ni kitendo cha kutambua (appreciate) au kujua matendo ya Mungu katika maisha ya kila siku. Ni vema tukatambua kuwa kila kinachopatikana kwenye maisha ya kila siku siyo kwa nguvu zetu wenyewe, bali ni Mungu ndiye...
  9. mshale21

    CHADEMA leo umeiga nyendo za CCM za kuengua watia nia ujumbe na nyadhifa mbalimbali ndani yako?

    Rip chadema, ndivyo hivyo tunavyokuaga huku wakuu walliokuua maksudi wakipanga namna ya kujipoza mioyo yao kutokana na majeraha uliowaachia? Chadema leo umeiga nyendo za CCM za kuengua watia nia ujumbe na nyadhifa mbalimbali ndani yako? Chadema leo hii umewaliza watu kwa kuwakumbusha...
  10. Faana

    Mchungaji: Hali ya joto inayoendelea nchini kwetu ni kutokana no moto aliowasa Mungu Los Angles US

    Hilo ndilo amesema kiongozi wetu leo kwenye Jumuiya akituonya kuacha dhambi kwasababu nyakati hizi zinafanana na zile za Sodoma na Gomora
  11. Roving Journalist

    SUWASA: Yasogeza huduma ya maji kwa Wananchi wa Mtaa wa Mungu Maji

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) kupitia mradi wa Uboreshaji wa huduma imefanikiwa kuwasogezea maji safi na salama wananchi wa mtaa wa Mungu Maji uliopo Manispaa ya Singida, hatua inayolenga kumtua mama ndoo kichwani. Mradi huo uliofadhiliwa na SUWASA na kusimamiwa na...
  12. Shooter Again

    Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Kuna watu ni wajinga wanaamini kabisa kwamba Kuna mungu utakuta mtu amefanyiwa ubaya na binadamu mwenzie eti namuachia mungu halafu Kwa mujibu wa dini huyo huyo mtu alienda kutubu anasamehewa aisee zindukeni dini na neno mungu limetungwa na matapeli Ili waweze kuitawala dunia ikiwemo kuanzisha...
  13. J

    Majina Mbalimbali ya Mungu

    Majina Mbalimbali ya Mungu Kwa nini majina tofauti Mungu ni mmoja tu, lakini katika umoja wake amekuwa akijifunua katika majina mengi, kulingana na uweza wake alio nao, au majira fulani yaliyopita, au matukio ya namna tofauti tofauti yaliyotokea. Mifano ya majina tofauti kwa mtu yule yule Ni...
  14. secretarybird

    Hii ni kwa wanaompenda na kumcha Mungu tu

    Je ni ruksa kumtukana shetani kwa matusi mazito? Nasema hivi kwa sababu jana nilipitia karibu na kijikanisa cha kilokole nikasikia waumini wakimtukana shetani kwa matusi mazito tena mengine ni ya nguoni, eti "shetani shenzi kabisa, mwizi mkubwa, ***** la mama yako, Malaya weeee, ndo maana...
  15. M

    Mungu asikia maombi ya wanandoa wa kimarekani na kuikoa nyumba yao dhidi janga la moto

    Hakika Mungu yupo kwa hili lililowatokea wanandoa wawili nchini marekani katika hili janga la Moto linaloendelea,walikuwa na dakika 30 pekee za kuokoa maisha yao lkn kwa maombi na sala Mungu aliwanusuru wao na nyumba yao
  16. Maleven

    Mungu anipe nguvu ya kupuuzia mambo ili kuokoa afya yangu

    Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika. Anamatumizi mabaya ya hela. mvivu anakiburi ukimuelekeza anaona anaonewa Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili...
  17. Manfried

    Kwanini ukiombewa na Baba yako mambo yanafanikiwa au Baba ndo Mungu mwenyewe ?

    Wakuu huu ni ushuhuda. Mwaka 2020 nilianza kuishi na Baba mzazi baada ya kuumia kupata Ajali . Niliamua kubeba hilo jukumu 100% japo ndugu zangu walikuwa wanaruka ruka. Ila asikuambie mtu tangia nianze kukaa na mzee wangu haya ndo niliyoyapata. Kila nikitaka kufanya jambo nilikuwa...
  18. SankaraBoukaka

    Kwanini Watu Bado Wanaendelea Kuomba Kwa Nafsi za Wafu?

    Utangulizi: Katika maandiko matakatifu, tunapata maagizo ya wazi kuhusu hali ya wafu na jinsi tunavyopaswa kushughulika nao. Aya za Mhubiri 9:5-6 na Kumbukumbu la Torati 18:10-12 zinatupa mwongozo wa moja kwa moja ambao unaweza kutumika katika mjadala huu. Hata hivyo, bado kuna desturi miongoni...
  19. danhoport

    Ikiwa Mungu anatuimiza binadamu tusamehane, kwanini yeye hajamsamehe Shetani?

    Kwema humu jamani, kwa nia njema tu sio kama nakufuru nauliza ili na mimi nipate kujua, ilikuaje mpka leo Sir God hajamsamehe Shetani, mana naambiwaga Shetani alimkosea Mungu lakini sikumbuki kama Mungu alimsamehe. Je Mungu bado ana kinyongo na Shetani?
  20. R

    Wanaochanganya Damu mbichi ya n'gombe kwenye vyakula vya kuku wana nia ya kutufarakanisha na Mungu

    Salaam, shalom! Baada ya Mungu kuruhusu mtu kula nyama, alimkataza Kula Damu ya mnyama. Yaani ukichinja myama au ndege, Damu yake hupasi kuitumia Kwa matumizi ya chakula, ni machukizo maana ndani ya Damu ya m yama, mna uhai. ( Mwanzo 9:4). Sasa Kwa kuwa shetani ni baba wa Hila, baada ya kuona...
Back
Top Bottom