risasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Sirari-Tarime: Inadaiwa Askari wa Kenya Wamewashambulia Wafanyabiashara wa Mahindi, baadhi wamejeruhiwa kwa Risasi

    Nimepata taarifa toka kwa rafiki yangu zinazo dai kuwa, kuna Watanzania wamepigwa risasi na Polisi wa Kenya mpakani Sirari eneo linaloitwa Kipimo. Wengine pia wamevunjwa miguu na mikono na wamekimbizwa hospital. Katika hali ya kushangaza baadhi ya Watanzania waliopigwa risasi wamechukuliwa na...
  2. bongo man

    Maisha na mikasa ya safari yangu nchini DR Congo miaka ya 2000's hadi kutaka kupigwa risasi hadharani

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa. Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye...
  3. STRUGGLE MAN

    Marekani: Mwanamichezo kutoka Afrika Kusini apigwa risasi na Polisi na kufariki

    Hasira zaenea baada ya polisi Marekani kumuua mwanamichezo wa Afrika Kusini. Kifo cha mchezaji wa mpira wa rugby wa Afrika Kusini, Lindani Myeni akiwa mikononi mwa polisi huko Honolulu, Marekani, kimeibua ghadhabu na hasira kali miongoni mwa watu wa Waafrika Kusini. Kumefanyika maandamano ya...
  4. Jembe Jembe

    ARUSHA: Polisi hawara aua mume wa ndoa kwa risasi

    Polisi wa kituo cha Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha wanadaiwa kumpiga risasi raia aliyetambuliwa kwa jina la Yohana Nasieli kwa kile kilichoelezwa kuwa ni wivu wa mapenzi kati ya mke wa marehemu na askari polisi. Habari kutoka kwa ndugu na majirani wa marehemu zilisema kuwa tukio hilo limetokea...
  5. Shadow7

    Video ya Polisi akimshambulia kwa risasi kijana wa miaka 13 yatolewa Chicago

    Polisi wa Chicago wametoa picha za afisa aliyempiga risasi mtoto wa miaka 13 kwenye uchochoro wa giza. Video hiyo inaonesha polisi huyo akipiga kelele “dondosha” kabla ya kumpiga risasi Adam Toledo mara moja kifuani tarehe 29 mwezi Machi. Mvulana haonekani kuwa ameshika silaha katika sekunde ya...
  6. Idugunde

    Dar: Mtoto wa miaka 17 ampiga risasi mtoto mwenzake na kumsababishia kifo

    Hii ni habari mbaya sana maana ni ngumu kuiamini. ---- Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi Ilala linamshikilia Juma Shamata kwa kushindwa kuhifadhi eneo salama bastola yake, hali iliyosababisha mtoto wake wa miaka 17 kuitumia kwa kumpiga risasi mtoto mwenzie Ikhissan Abdilahi (10) na kumsababishia...
  7. B

    Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)

    Naomba kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu mtu kutumia gari yenye uwezo wa kuzuia risasi kupenya (bullet proof)
  8. Shadow7

    Kilimanjaro: Mkulima awamiminia risasi mke na mtoto wake, sababu zaelezwa

    Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Alson Shangali (61) mkulima na mkazi wa Kijiji cha Kimashuku kata ya mnadani katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro anatajwa kuwajeruhi kwa kuwapiga risasi mke wake Magret Shangali (51) na mwanae Albert Shangali (28). Chanzo Bongo five
  9. Shadow7

    Marekani: Kijana akijihami na Polisi, aua watu 10 kwa risasi sokoni

    Mtu mmoja aliyejihami kwa bunduki amewaua watu 10, pamoja na afisa wa polisi, kufuatia makabiliano ya saa kadhaa katika soko la mboga huko Colorado, polisi wa Marekani wanasema. Shambulio hilo huko Boulder lilitamatika wakati mtuhumiwa aliyejeruhiwa, aliyekuwa bila shati alipoondolewa kutoka...
  10. J

    Askofu Gwajima: Sasa ni wakati wa kumsupport Rais Samia, huyu ni Joshua wetu ukiangalia nyuma utakula risasi

    Askofu Gwajima amesema sasa ni wakati wa kumsupport Rais Samia kama tulivyomsupport hayati Magufuli kwa sababu mama Samia atayatimiza ya Magufuli tena atafanya zaidi tayari. Askofu Gwajima amesema Kanisa la ufufuo na uzima linamuunga mkono mama Samia kwa 100% kwa sababu huyu ni Joshua, yaani...
  11. Miss Zomboko

    Nigeria: Rais atoa ruhusa kwa Wanajeshi kuwapiga risasi Watu wote watakaoonekana na bunduki ya AK-47

    Wanajeshi wa Nigeria wamepata ruhusa ya kuwapiga risasi bila kuhitaji kibali, watu wote watakaoonekana wakiwa na bunduki aina ya AK-47, kufuatia agizo la rais Muhammadu Buhari. Amri hii imetolewa kufuatia kuzorota kwa hali ya usalama, baada ya visa vitatu vya utekaji nyara kati ya Desemba na...
  12. Informer

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Wakuu, Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi. Kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma. Ameshambuliwa kwa risasi wakati akishuka nyumbani kwake Area D Mjini Dodoma, alikuwa akitokea...
  13. Chagu wa Malunde

    Mliompiga risasi Lissu tambueni kuwa jinai haina mwisho. Kosa lenu lipo palepale

    Kila mwenye akili timamu anajua kuwa mnajidanganya kuwa kuwa makosa yenu ya kumpiga risasi bila hatia Lissu,watu watayasahau ukweli ni kuwa hayatasahaulika. Huu utawala unaowalinda utapita na kosa la jinai halina mwisho. Hivyo huko mlipo mjitafakari,je huu utawala ukiondoka na akaja mtawala...
  14. beth

    Myanmar: Vikosi vyafyatua risasi dhidi ya waandamanaji, 38 wauawa

    Takriban watu 38 wameuawa baada ya Vikosi vya Ulinzi na Usalama kuwafyatulia risasi Waaandamaji wanaopinga Utawala wa Kijeshi katika Miji kadhaa. Imeelezwa, watu hao walikuwa wanafanya Maandamano ya Amani Imetajwa kuwa siku mbaya zaidi tangu Jeshi kuchukua madaraka. Umoja wa Mataifa (UN)...
  15. S

    Baba mwenye nyumba hata akiagiza watu wapigwe risasi hadharani bado atapata watetezi tu

    Hivyo ndivyo ninavyoweza kuhusu Banana Republic ya Bongo, ambayo imejaa baadhi ya watu wabinafsi na wenye kujipendekeza mpaka wanatia kinyaa na kuwa tayari kutetea kila jambo linalofanywa na huyo wanaemuona kwao ni kama Mungu Mtu kisa tu ana nafasi ya kuweza kuwafanya waishi vizuri japo ni kwa...
  16. Idugunde

    Natamani sakata la Lissu kupigwa risasi liwe declassified

    Mwaka 1994 mwanasiasa machachari huko nchini Kenya Dr Fredrick Masinde alipata ajali mbaya sana ambayo ilisababisha kifo chake. Ajali ambayo baadae ilikuja kujulikana kuwa ilitengenezwa na kisha yeye kuja kuwekewa kitambaa chenye sumu ili afe kwa kuvuta hewa ya sumu na huku wananchi wakiwa...
  17. Miss Zomboko

    RC Chalamila: Wafugaji waliovamia hifadhi waondoke ndani ya siku 6. Mkirusha mikuki tutarusha risasi za moto

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ametoa siku 6 kwa Wafugaji Wilayani Mbarali kuondoa Mifugo katika Hifadhi ya Bonde la Ihefu na Ruaha kabla hawajachukuliwa hatua kali Amesisitiza "Nimetoa siku sita na nawaonya kwa Mfugaji yeyote atakayekaidi agizo hilo na kuleta mapigano katika uondoaji...
  18. CORAL

    Tembo asaka tiba baada ya kupigwa risasi na majangili

    Tembo mmoja huko Zimbabwe ameacha watu midomo wazi baada ya kutafuta madaktari wa wanyama pori wamtibu kufuatia jeraha alilopata kichwani kwa kupigwa risasi na majangili. Majangili walimpiga risasi tembo huyo wakitaka kumuua ili wang'oe meno yake wakauze. Lakini tembo huyo alinusurika na...
  19. M

    Kuwafukuza uanachama Wanawake mashujaa 19 ni kujipiga risasi mguuni

    Chonde chonde kamati kuu ya CHADEMA, huu mtego utegueni kwa hekima. Kuwafukuza wanawake 19, au 20, ambao Ndio Wanawake imara na wenye nguvu zaidi nchini kwa sasa, siyo tu kujipiga risasi mguuni, ni kumpa adui nafasi ya kujilinda na kukushambulia. Sisiemu wana pandikiza mapandikizi kila leo...
  20. S

    Unganeni kukikataa kikundi hiki kabla hakijakomaa zaidi ya hapa na kuwa kikundi cha hatari zaidi

    Huu sasa ndio muelekeo kwenye Taifa moja katika Bara fulani ambako kuna chama fulani cha siasa sasa kimebaki chama siasa jina tu, ila kiuhalisia chama hicho kimegeuka kikundi cha watu wachache kilichokamata serikali (dola) katika nchi hiyo, na kinaweza fanya lolote pasipo hofu utadhani nchi hiyo...
Back
Top Bottom