2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Endeleeni kukaririshana upumbavu miaka yote kuja kushtuka nyote mtakuwa watumwa wawasukuma kwa uzumbukuku wenu.
Niliwahi kwenda msibani sehemu fulani ndani ya wilaya ya hai, nikakutana na vijana wawili wa kisukuma, wa kaniambia wa nafanya kazi ya kul isha ngombe, nikawa uliza mbona kwenu kuna ngombe nyingi mara elfu kuliko huku uchagani? Kwa nini msiendeleze mifugo yenu na badala yake mje mbali huku kuajiriwa kwa ujira mdogo hivi? Walichonijibu ni siri yangu, kuna watu wana Mali, ila si matajiri, kama tu nchi ya Tanzania yenye Mali nyingi lakini bado tu ni masikini.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Lakini top ten ya matajiri tanzania ni wahindi na waarabu.

Labda useme wamefanikiwa kuwa na biashara ndogo ndogo.
 
Wachaga wako juu na hakuna wa kuwashusha wako na akili na spirit ya waisraeli popote wanakwenda na wanatoboa Kwa kazi na biashara yoyote na shule vijana wao wanapelekwa Kwa hivyo Wachaga wanaelimika sana tangu hapo zamani mpaka sasa.
Wasukuma ni wengi kweli ila ni washamba sana na ni wavivu wa kufikiri na ni walozi sana tena sana.
Elimu kwao imewapiga chenga na ukiona msukuma kaenda shule basi ana asili ya kabila lingine pia na matajiri wengi wa kisukuma ni full ndago hilo linajulikana nchi nzima na wanafanya kazi au maisha yao ni kama watumwa tu hawaelewi vipi mambo yanakwenda na ni washamba kiasi Cha kutapeliwa sana hasa waingiapo mjini.
Msukuma bado primitive sana kila nyanja.
 
Propaganda ikitumika vizuri; mbingu inaweza kuonekana kama kuzimu, na kuzimu kama mbinguni.
 
Mungu azidi kuwabariki wachagga wote popote pale walipo na makabila mengine yawe watumwa wetu.

Amen...
 
Hii Chuki ukiendelea kuishikilia kwa siku tatu tu mfululizo, UNAKUFA, hapo tu presha imekupanda hadi unataka kupasuka!! Acha ndugu yangu, waza mambo mengine

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…