2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Haya hebu tutajie biashara ya msukuma iliyopo dar,mbeya arusha,morogoro na dodoma kwa uchache
Hiyo Dar yenyewe ina wasukuma milioni mbili(2), hiyo arusha ina ardhi gani na uchimi gani adi msukuma aje huko kama wenyeji wenyewe wanakimbia mji, morogoro mashamba yote gairo, ifakara, kilombero yamechukuliwa na wasukuma wakilima mpunga, Mbeya ni kama mji wote wamejaa wasukuma huko wakitafuta fursa kwenye ardhi yenye rutuba, hiyo dodoma msukuma aende akafanye nini labda kazi za kuajiriwa, mbali na hivyo kuna wasukuma kibao tu hapo wanalima zabibu na alizeti ingawa hapo dodoma ni jangwa tu. Achana na msukuma katafute kazi ya kufanya mkuu.
 
BUrn ndiyo nini? We kilaza kweli, nyie ni mafukara mnajiuza kama makahaba. Chema chajiuza kibaya chajitembeza. We ni miongoni mwa watu wenye akili duni sana ulikulia kwenye kwashiakor huwezi kuwa na akili. Kwanza thread kama hii what is its rationale, zinasaidia nini pamoja na kwamba imejaa uwongo maana hakuna takwimu yoyote popote inayoonesha mambo haya. We umezitoa wapi, mmekae kwenye pombe zenu umewashwa na pombe na roho ya kibaguzi unaleta utopolo kama huu. Mara JF co-founder wake ni mchaga unahangaika kama mwanamke anataka kujifungua bure kabisa bora usingezaliwa huna msaada kwa binadamu wenzako zaidi ya kuzusha mambo ya uwongo wakati mlo wako wenyewe ni shida.
 

Swala sio shoo off wasukuma kawaida wanachojua wao ni nguvu nyingi akili kidogo
Anayetumia akili nyingi alikupa faida gani? Ukweli lazima usemwe hatutumii nguvu nyingi bali ni hulka za kitemi hizo na haziwezi kubadilika kamwe
 
Sisi Wandegereko na Shemeji zangu Wasonji tunakaa namba ngapi?
 
Ukiendelea kuvuta pumzi ya mungu, kila siku unatakiwa kuwashukuru wasukuma kwa kuitendea kazi ardhi ya nchi hii ili nyie wajinga na wapumbavu muendelee kusurvive.
Ni maoni yako tu mkuu, na maoni kama haya hutolewa na mtu ambaye ni msukuma au anafanania
 
Shambulia maneno bwana mtumwa, usimshambulie mtu.

Jibu hili swali, umesema wachaga wamejipeleka Tanzania nzima kuwa watumwa na mimi nikakuuliza waarabu na wazungu walivyotufanya waafrica kuwa watumwa wao, ni sisi tuliwafuata au wao ndio walikuja maeneo yetu.

Unasema ninaandika vitu pasipo kuwa na takwimu au real facts mbona sasa na wewe unarudia kosa hilo hilo.
Onyesha hizo takwimo za ulevi, kwashiakor sijui na nini unazosema wachagga wanaongoza
 
Wamasai umewaacha wapi kwa kubebana, madini, mifugo
 
Ukiachana na waarabu, wachaga ndio wanaofuata kwa mabiashara nchini
 
true
 
Na .I'm nimemshangaa msukuma hajawahi kuwa na maendeleo. Yupo kama mmasai tu
Kusema kweli wanaweza kuwa wanaonekana hawana maendeleo kutokana na lifestyle yao, Ila ukiangalia vizuri wasukuma wanamaendeleo sana kwa sasa na pia hata maeneo wanayotoka yanakua kwa speed kubwa sana. Changamoto ya wasukuma huwa hawabadiliki sana hata kama anahela nyingi pia,sio watu wa showooff.
 
Hujui kuwa wasukuma wanafundisha wazungu hadi kucheza ngoma za kisukuma?

Hayo ni maendeleo kijana, wasukuma wapo duniani kote
Tatizo la watanzania wanapenda showoff sana,Lakini wasukuma wameshika sekta kama madini ,ufugaji na kilimo ila kwa vile hawana kelele hutajua kama wanamaendeleo. Mfano utakutana na mtu anagunia 700 za mpunga lakini muonekano ni wakawaida tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…