2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Nilichogundua ni kwamba Timu nyingi za kiafrica ni mbovu mno hata hii Senegal tunayoiona ni mfalme ila kwa mtu anayejua mpira sitoshangaa hata akisema Senegal inaweza kufungwa na scotland tu tena Home/Away,

Kiufupi africa mpaka tupate timu itakayobeba kombe la dunia ni bado sana Timu za africa zinacheza hovyo tu.
Bado saaana
 
Nilichogundua ni kwamba Timu nyingi za kiafrica ni mbovu mno hata hii Senegal tunayoiona ni mfalme ila kwa mtu anayejua mpira sitoshangaa hata akisema Senegal inaweza kufungwa na scotland tu tena Home/Away,

Kiufupi africa mpaka tupate timu itakayobeba kombe la dunia ni bado sana Timu za africa zinacheza hovyo tu.
Africa tukijikusanya wenyewe akili zinapotea kabisa. Hao akina Mane wanakuwa na akili wakiwa Ulaya huko.

Mpira wetu bado nguvu nyingi kuliko mipango na akili.

Hili kombe hakuna timu yenye level hata ya Poland tu kwa Ulaya.
 
Mimi ni Tanzania tu.

Kama nilivyokuwa na England yangu WC.

Tukitolewa basi.

Mods wapuuzi, walinilamba BAN.
 
Africa tukijikusanya wenyewe akili zinapotea kabisa. Hao akina Mane wanakuwa na akili wakiwa Ulaya huko.

Mpira wetu bado nguvu nyingi kuliko mipango na akili.

Hili kombe hakuna timu yenye level hata ya Poland tu kwa Ulaya.
Misri walicheza vizuri sana baada ya kutoka Salah, ni basi tu ubora wa Kudus ukawapa point 1.
 
Ukifuatilia interview za samuel etoo utagundua ni mweupe sana kichwani


Aliwahi kuulizwa swali dogo la mtego

"Unajisikiaje kucheza timu moja na messi"

Alijibu

"Messi ndiye amecheza timu moja na mimi muulizeni yeye"

Kupitia hili jibu utagundua kuwa Bwana Etoo anaujinga mwingi kichwani hajui kukaa km professional au kiongozi

Etoo alienda ulaya akiwa mtoto mdogo pale real madrid sidhani km amewahi kusoma shule

Kipaji alikuwa nacho sana ila ni mjinga

Kupitia kombe la dunia kwa mchezaji aliyecheza Madrid na Barcelona angeshatambua kuwa Song sio kocha mzuri
Messi ameanza kuingia kikosi cha kwanza Barca amemkuta Etoo ameahafanya makubwa hapo Barca hivo messi ndio alipaswa aulizwe unajisikiaje kucheza na Etoo timu moja

Kuhusu Song, humu tunapiga kelele timu za Africka wapewe wazawa bado wakipewa tunapiga kelele
 
Mechi za Leo
IMG_9481.jpeg
 
Fatilieni na michuano ya Asia wakuu

Mpira wa Asia unafurahisha sana

Niliangalia mechi ya India vs Australia nimeenjoy sana

Wachezaji wa india walikuwa wanajificha wasipewe pass

India ingeruhusu wahamiaji weusi waende kwao wakabust mpira wao
Mimi niliona memes tu , nikajua kabisa wahindi wametuangusha vibaya sana, japo huwa wanafuta machozi kwenye cricket
 
Ukifuatilia interview za samuel etoo utagundua ni mweupe sana kichwani


Aliwahi kuulizwa swali dogo la mtego

"Unajisikiaje kucheza timu moja na messi"

Alijibu

"Messi ndiye amecheza timu moja na mimi muulizeni yeye"

Kupitia hili jibu utagundua kuwa Bwana Etoo anaujinga mwingi kichwani hajui kukaa km professional au kiongozi

Etoo alienda ulaya akiwa mtoto mdogo pale real madrid sidhani km amewahi kusoma shule

Kipaji alikuwa nacho sana ila ni mjinga

Kupitia kombe la dunia kwa mchezaji aliyecheza Madrid na Barcelona angeshatambua kuwa Song sio kocha mzuri
Ana inferiority complex
 
Back
Top Bottom