Bado saaanaNilichogundua ni kwamba Timu nyingi za kiafrica ni mbovu mno hata hii Senegal tunayoiona ni mfalme ila kwa mtu anayejua mpira sitoshangaa hata akisema Senegal inaweza kufungwa na scotland tu tena Home/Away,
Kiufupi africa mpaka tupate timu itakayobeba kombe la dunia ni bado sana Timu za africa zinacheza hovyo tu.
Anaongoza 1 hukoGuinea hawapo serious kabisa...
Wanataka kurudi home kulea
Africa tukijikusanya wenyewe akili zinapotea kabisa. Hao akina Mane wanakuwa na akili wakiwa Ulaya huko.Nilichogundua ni kwamba Timu nyingi za kiafrica ni mbovu mno hata hii Senegal tunayoiona ni mfalme ila kwa mtu anayejua mpira sitoshangaa hata akisema Senegal inaweza kufungwa na scotland tu tena Home/Away,
Kiufupi africa mpaka tupate timu itakayobeba kombe la dunia ni bado sana Timu za africa zinacheza hovyo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee relaaaaxxxxAcha kulinganisha Goalkeeper na takataka la shati golini
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wafupi tunanangwa Sana...si mtunyonge tu!!![emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Medeama kama sio timu ya Ghana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PENGO LA CHEMALONE LAONEKANA CAMEROON🫣
Umesema ukweli mtupu MkuuAfrica tukijikusanya wenyewe akili zinapotea kabisa. Hao akina Mane wanakuwa na akili wakiwa Ulaya huko.
Mpira wetu bado nguvu nyingi kuliko mipango na akili.
Hili kombe hakuna timu yenye level hata ya Poland tu kwa Ulaya.
Misri walicheza vizuri sana baada ya kutoka Salah, ni basi tu ubora wa Kudus ukawapa point 1.Africa tukijikusanya wenyewe akili zinapotea kabisa. Hao akina Mane wanakuwa na akili wakiwa Ulaya huko.
Mpira wetu bado nguvu nyingi kuliko mipango na akili.
Hili kombe hakuna timu yenye level hata ya Poland tu kwa Ulaya.
Messi ameanza kuingia kikosi cha kwanza Barca amemkuta Etoo ameahafanya makubwa hapo Barca hivo messi ndio alipaswa aulizwe unajisikiaje kucheza na Etoo timu mojaUkifuatilia interview za samuel etoo utagundua ni mweupe sana kichwani
Aliwahi kuulizwa swali dogo la mtego
"Unajisikiaje kucheza timu moja na messi"
Alijibu
"Messi ndiye amecheza timu moja na mimi muulizeni yeye"
Kupitia hili jibu utagundua kuwa Bwana Etoo anaujinga mwingi kichwani hajui kukaa km professional au kiongozi
Etoo alienda ulaya akiwa mtoto mdogo pale real madrid sidhani km amewahi kusoma shule
Kipaji alikuwa nacho sana ila ni mjinga
Kupitia kombe la dunia kwa mchezaji aliyecheza Madrid na Barcelona angeshatambua kuwa Song sio kocha mzuri
Hawa Senegal watu wabaya tuwaombee tu wampige na Guinea hata 3 ili tuvuke naePole mkuu
Wahindi wanajificha nyuma ya mpiraFatilieni na michuano ya Asia wakuu
Mpira wa Asia unafurahisha sana
Niliangalia mechi ya India vs Australia nimeenjoy sana
Wachezaji wa india walikuwa wanajificha wasipewe pass
India ingeruhusu wahamiaji weusi waende kwao wakabust mpira wao
Mimi niliona memes tu , nikajua kabisa wahindi wametuangusha vibaya sana, japo huwa wanafuta machozi kwenye cricketFatilieni na michuano ya Asia wakuu
Mpira wa Asia unafurahisha sana
Niliangalia mechi ya India vs Australia nimeenjoy sana
Wachezaji wa india walikuwa wanajificha wasipewe pass
India ingeruhusu wahamiaji weusi waende kwao wakabust mpira wao
Ana inferiority complexUkifuatilia interview za samuel etoo utagundua ni mweupe sana kichwani
Aliwahi kuulizwa swali dogo la mtego
"Unajisikiaje kucheza timu moja na messi"
Alijibu
"Messi ndiye amecheza timu moja na mimi muulizeni yeye"
Kupitia hili jibu utagundua kuwa Bwana Etoo anaujinga mwingi kichwani hajui kukaa km professional au kiongozi
Etoo alienda ulaya akiwa mtoto mdogo pale real madrid sidhani km amewahi kusoma shule
Kipaji alikuwa nacho sana ila ni mjinga
Kupitia kombe la dunia kwa mchezaji aliyecheza Madrid na Barcelona angeshatambua kuwa Song sio kocha mzuri