Jamaa wanacheza mpira wa kurudisha nyuma tu mwanzo mwisho yaan kidogo mpira wanarudisha nyuma baada ya kwenda kushambulia mbele wao wanarudisha nyuma tu km ndio huu mpira wanaocheza wa kurudisha golini kwako DR Congo watampiga 5 we subiri ushuhudieSamatta anakokota mpira anataka kudondoka mwenyewe π
Nani amewafundisha Stars mpira wa kurudisha nyuma baada ya kucheza kwenda mbele wao wanarudisha nyuma tu hawaendi mbele kushambulia Goli washindeTuwekeze kwny mpr serious aya mambo ya kutegemea bahat nasibu tuache.
Ukiangalia mpr tunaocheza tu utajua wazi hili taifa wanategemea. Mpr wa Inshaallah yan unga unga mwana.
Tuache mambo ya hamasa wkt tumepata bahat ya kupenyeza sehem tuwekeze tuwekeze tuache ufala.
Sisi ni watu wa ovyo sana.. Si ndo tuligeuka sisi ndo kama tumepewa kadi ss.Nani amewafundisha Stars mpira wa kurudisha nyuma baada ya kucheza kwenda mbele wao wanarudisha nyuma tu hawaendi mbele kushambulia Goli washinde
Hakuna mpira siasa nying hadi michezoniila mi nchi ya kijamaa sjui kwanin haiwezi kucheza mpira ona mi china ona mi Tanzania yamekaa kipumbavu pumbavu tu
π€£π€£Kuna watu wanafurahisha sana eti Msuva anagaragara anasikitika kutoa sare Ina maana alikuwa ana matumaini ama!!
π€£π€£π€£Laana ya Team inaanza kuchaguana watu wachache wao ndio kujikuta wanaipenda sana Team kushinda Watz wote.
Wacha tuogee
Umfunge Zambia kwa kupeleka mipira golini kwako baadala ya kupeleka Goli la Zambia ulisikia wapi? DR Congo watapiga kipigo cha Mbwa Koko apige mshindo km aliolia Samatta pale alipopigwa cha ubavuMnasema mkimfunga Zambia mnakua wapili nyuma ya mabingwa Morocco ?View attachment 2879007
Well saidMichezo ipo mingi kama rede, kukimbia na magunia, kula umbakishie baba, kukimbiza kuku, kukimbiza mwenge, bao n.k mna ng'ang'ania mpira tu
MPira utaendaje mbele wakati viungo wako wa kati hawana huo uwezo.Umfunge Zambia kwa kupeleka mipira golini kwako baadala ya kupeleka Goli la Zambia ulisikia wapi? DR Congo watapiga kipigo cha Mbwa Koko apige mshindo km aliolia Samatta pale alipopigwa cha ubavu
Mboni walikua wanawashambulia Ila wamejaa uoga uoga siwaelewiMPira utaendaje mbele wakati viungo wako wa kati hawana huo uwezo.
Ukitoa goli tulilofunga tumetengeneza nafasi gani nyingine nzuri ya kufunga?Mboni walikua wanawashambulia Ila wamejaa uoga uoga siwaelewi
Yaan zaidi ya ovyo watu wapo pungufu lakini baada ushambulie unakomaa kurudisha nyuma Hemmed Moroko kakomaa anapiga kelele kumbe kelele zile ni kuwahimiza warudiahe mpira nyuma wasiende kushambulia Goli la Zambia?Sisi ni watu wa ovyo sana.. Si ndo tuligeuka sisi ndo kama tumepewa kadi ss.