United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Hakika hawaogopi mtu.Hawaogopi
Nafikiri Ni wenge tu la wachezaji.... Si kwa kukosa nafasi zileee...Wenyeji safari hii hawana timu kali sana!!
afu kitu kibaya haya ni menyejiNilidhani Tanzania ndio vilaza wa mwisho
Kumbe kuna wenzao waliowazidi[emoji23][emoji23]
Ndicho nilichosema hata mimi hapa nilipokuwa naangalia.afu kitu kibaya haya ni menyeji
Wengi nj viazi sanaMakocha wengi wanazingua...wanaleta ujuaji...
Ndio maana Salah karudi zake Liverpool
Kumbe alizuga kuumia ili awakimbieMakocha wengi wanazingua...wanaleta ujuaji...
Ndio maana Salah karudi zake Liverpool
Wanataka kupingana na makocha wa ulaya...wanawaweka nje wachezaji wa ulaya alafu wanawaweka ndani wamchangani...Wengi nj viazi sana
Kama huyu wa ivory Coast ndo kiongozi wa kocha viazi afcon.
Tulimuagiza arudi akiwa salama.Kumbe alizuga kuumia ili awakimbie
now utakuwa umenielewa kwanini nilimuulizia huyo mwamba mwenye kipara maana wengi mlikuwa hamumtui jamaa hua anawakanda watu bila hurumaUnataka kumleta utopolo