Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 524
- 2,097
Samatta angepumzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu aingie nani?Samatta angepumzika
Jamaa ana bahati mbaya sana hajawahi kushine timu ya taifa. Mdogo wake alijiongeza vizuri yuko timu ya taifa ya Spain. Kaka mtu kiwango na umri hawezi pata namba pale Spain huku alikochagua nako anazingua tuAfu kuna mechi nimeisahau, jamaa aliwachomesha ghana
Ndio tatizo la tz kadri muda unavyoenda huwa tunakosa determination,Taifa stars wanacheza kama wamechoka flani hivi utasema walishiriki maandamano ya leo
Dogo anaupiga mwingi sana pale spain.Jamaa ana bahati mbaya sana hajawahi kushine timu ya taifa. Mdogo wake alijiongeza vizuri yuko timu ya taifa ya Spain. Kaka mtu kiwango na umri hawezi pata namba pale Spain huku alikochagua nako anazingua tu
Bora tuwe pungufu😀Halafu aingie nani?
Team ingekuwa chini ya waalimu hawa tangu mwazo tusingepangiwa kile kikosi tulichoanza nacho, cha kina Mombwa, Mnoga na waarabu wanaocheza daraja la tano huko nje.Stars tangu mwanzo wangekuwa wanacheza hivi walau tungekuwa na point
Wanamjua vizuri, wamemkaba sana mazoezini,huko Avic town.Leo Mayele hapumui kwa Nondo na Baka[emoji1783]
Santo sana
Hatuna shoot on-target hata moja mkuu mpaka sasa.Team ingekuwa chini ya waalimu hawa tangu mwazo tusingepangiwa kile kikosi tulichoanza nacho, cha kina Mombwa, Mnoga na waarabu wanaocheza daraja la tano huko nje.
Imewachukua mechi moja tu kujua ni team gani waanze nayo na matokeo yake ndio haya, hatupigi mpira mzuri sana ila ni afadhali kuliko tulivyoanza.