2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

IMG_9622.jpeg
 
Onana yupo Afcon ila akili yake Iko Man united hapo angeweza kufungisba makusudi Ili watolewe arudi zake england Kiufupi Song Ana Akili isitoshe anatetea kibarua chake
Huyu kijana hana akil kbs... Mm nashangaa kwnn mwanae Eto'o anambeba beba hana chochote special tangu kwnz aende Man u onana kawa Average goalkeeper.

Ego ya Onana imekua kubwa sana kuliko kiwango chake.. Ngj asugue mbao.
 
Huyu kijana hana akil kbs... Mm nashangaa kwnn mwanae Eto'o anambeba beba hana chochote special tangu kwnz aende Man u onana kawa Average goalkeeper.

Ego ya Onana imekua kubwa sana kuliko kiwango chake.. Ngj asugue mbao.
Ile mechi ya Senegal on target za Senegal zilikua 3 na zote Kambani alafu game na guinea alikua analalamika kwanini hajapangwa wakati alitumia ndege binafsi Toka england Hadi ivory coast Ili awahi mechi
 
Huyu kijana hana akil kbs... Mm nashangaa kwnn mwanae Eto'o anambeba beba hana chochote special tangu kwnz aende Man u onana kawa Average goalkeeper.

Ego ya Onana imekua kubwa sana kuliko kiwango chake.. Ngj asugue mbao.
Etoo hana ushikaji wowote na Onana, aliwahi kufanya jamaa aikache team.
 
Ukiisha Vaa Jersey namba 13 ujue basi ni Mkosi balaa. Najua utakataa lakini fuatilia wachezaji wanaovaa Jersey namba 13.
Mfuatilie Michael Ballack na timu yake ya Germany [emoji629] utaelewa
Gerd muller 13
Thomas muller 13

Wote wamebeba kombe la dunia
 
Ile mechi ya Senegal on target za Senegal zilikua 3 na zote Kambani alafu game na guinea alikua analalamika kwanini hajapangwa wakati alitumia ndege binafsi Toka england Hadi ivory coast Ili awahi mechi
Huyu mm nisinge hata muita hana mchango wowote zaid ya kuleta matabaka kambini.
 
Diarra is better than onana
Dah [emoji23]

Najua utajitetea kwa kuleta saves za Afcon tuangalie kati ya Diarra na Onana.

Sema mkuu sbr watu Simba mtoane roho kwnz.

Maana mpr wa simba na yanga ndo maana ushanishinda mm binafs kila mtu anavutia kwake.
 
Back
Top Bottom