Aisee kweli lazima ujihisi. Nipo na washikaji kibao hapa goli lilivyofungwa tu nikasema hiyo ni offside na nikasema hadi sababu watu wote walikataa. Baada ya offside watu imebidi wakubali na wakataka ufafanuzi.Ngoja niwe mkweli. Ile offside ya goli lililokataliwa imenifanya nijihisi sijui kila kitu kwenye mpira.
Mhh Kila boss ana boss wake, Sisi bado bado saana.Hawa Cameroon hata kichwa cha wendawazimu wanaweza wapapasa
Easy tu, kipa katoka nyuma kabaki beki. Yule beki ndio mtu wa mwisho ana act kama kipa na kipa ana act kama beki. Kwahyo yoyote aliyepokea pasi nyuma ya kipa (ambaye anachukuliwa kama beki kwa lile tukio ) anahesabika yupo offisdeNgoja niwe mkweli. Ile offside ya goli lililokataliwa imenifanya nijihisi sijui kila kitu kwenye mpira.
inawezakana ata hajui kama osimeh mwezi uliopita katoka kushinda Tuzo ya Mchezaji bora wa Africa wa mwakaMsamehe mkuu.
Hajui sometimes mchezaj mkubwa akiwa kwny team mbovu lzm umuone kama hana mchango sana kwa sbb anaocheza nao ni washenz.
Ili watu mpate memes za kucheka2nd half wamlete onana tupate burudani
Hamna kitu hapo.Ila Huyu bwana Ondoa, naona Anajituma Kuliko Onana.
🤣🤣🤣Anapapala kishenz kaja kama mlevi wa Mnanasi mpr ukapita kwapani.
Ngoja mo salah wa cameroon aingie😀Wasiwasi ndio akili.😁! Nilishapata wasiwasi mapema sana
Cameroon Mabeki hamnaaaa Ngoja niendelee kuwa nao nishasema nipo upande wao tu sa ttafanyeje 🤠
Dahh we jamaa 🤣🤣Hawa ni wachezaji wa stars waliovaa jezi za Cameroon na Naija hatakama wamevaa mask nimewagundua kwa ball wanalo cheza
Fafanua sasa maana beki wa Cameroon alikuwa kwenye mstari wa goli.Aisee kweli lazima ujihisi. Nipo na washikaji kibao hapa goli lilivyofungwa tu nikasema hiyo ni offside na nikasema hadi sababu watu wote walikataa. Baada ya offside watu imebidi wakubali na wakataka ufafanuzi.
[emoji23][emoji23]Yan mkuu Cameroon wana vituko sana basi tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisa. Wametukosha sana sofar. Labda ile timu ya HEAD OF CRAZY PERSON [emoji2957]Hii AFCON wachezaji zinajituma sana, kuliko siku za nyuma
Hata Mbele Hakuna Kitu, Liingie lile lidingi Vicent Abubakar kidogo litasaidia huwa lina Bahati.Wasiwasi ndio akili.😁! Nilishapata wasiwasi mapema sana
Cameroon Mabeki hamnaaaa Ngoja niendelee kuwa nao nishasema nipo upande wao tu sa ttafanyeje 🤠
Ninachojiuliza offside inaangalia tu position ya kipa? Mbona kuna beki alikuwa nyuma ya kipa?wakatae na hili, mm hizi off side za VAR siziamini
Yeah kocha sasa sijui atamuingiza sangapiHata Mbele Hakuna Kitu, Liingie lile lidingi Vicent Abubakar kidogo litasaidia huwa lina Bahati.