uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Naby Keita mbona kashuka kiwango hivi hadi kuwekwa sana bench. Halafu ndio ana miaka 28. Au hii miaka ni ile ya Passport tu
Mwanaume analilia moyoni....Mwamba ana maumivu Zaidi ya wote hapo katika timu Yao.Halafu mnasema mashabiki mna umia kuliko wachezaji?? Acheni upuuzi ona wanaume walivyoumia hapo wote wamelia..ila Nsue mbona anatafuna tuu big Giiii???
Ulikuwa uwakubal.Ila binafsi nimefurahi walivyotolewa...
Mi nimefurahiSisi ni pipo tutakutana…
Hakuna Namna.Tulitamani sana iwe hivyo lakini daah
[emoji419][emoji817]Huwa inatokea…anayewabeba kuna siku nae anawaangusha…ndio football
Hayupo tungeumia wote...😆😆😆Pole madam shemeji ajafika mpaka sasa?
Leo farao atakua kama katiwa ndimuTunasubiri kumliza na Egypt
Ndio walimkanda mwenyeji bao 4?Na ndiyo Mashabiki waliojaza uwanja...
Wanaishangilia Guinea..
EQG wakizomewa vibaya...
Kipara, kashindwa kuibeba timu kwa nafasi alizopata, nikikumbuka ile fainali ya Argentina na ufaransa kule Qatar, alichokifanya mbape ijapokua ufaransa alipoteza.Mpira una maumivu nyieeeee...
Hawa wakaka wa EQG wameniliza kwakweli....
Ndo maana mnapasuka mishipa ya damu...nawapongeza hao waliolia kutoa uchungu mzito moyoni...Mwanaume analilia moyoni....Mwamba ana maumivu Zaidi ya wote hapo katika timu Yao.
Huyu Guirassy wa VFB Stuttgart ndo mfungaji bora namba mbili Bundesliga kazidiwa na Kane tu. Lakini anachokifanya huku AFCON hata sielewi, hawa wachezaji hua wanalogwa ama hua wanafanya maksudi?!
Marais ni kama huwa wana laana, hivi si juzi nimesikia Rais wa Equatorial Guinea aliwapongeza wachezaji wake na kuwapa Pesa leo wamefungasha virago,
Itoshe kusema marais wa Africa waache kutia mikono yao kwenye masuala ya kimichezo maana ni kama wana laana,
Juzi kabla ya mechi na Tanzania Rais wa Drc Congo alienda Ivory coast kuongea na wachezaji wa Drc Congo........Leo Congo pia anatoka.
Poleni sana...yatapita.Mpira una maumivu nyieeeee...
Hawa wakaka wa EQG wameniliza kwakweli....
Bifu tena!!!!We! Hawa jamaa mbona wameupiga mwingi sana mpaka kufika 16 bora,au una bifu nao?
Wamefurahi mno...Wakodivwaa watakuwa wamefurahi sana