2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Halafu mnasema mashabiki mna umia kuliko wachezaji?? Acheni upuuzi ona wanaume walivyoumia hapo wote wamelia..ila Nsue mbona anatafuna tuu big Giiii???
Mwanaume analilia moyoni....Mwamba ana maumivu Zaidi ya wote hapo katika timu Yao.
 
Mpira una maumivu nyieeeee...
Hawa wakaka wa EQG wameniliza kwakweli....
Kipara, kashindwa kuibeba timu kwa nafasi alizopata, nikikumbuka ile fainali ya Argentina na ufaransa kule Qatar, alichokifanya mbape ijapokua ufaransa alipoteza.

Ukilinganisha ta timu za taifa za Africa, ndio utajua ni jinsi gani wenzetu wanavyojitoa kwa hali na mali linapokuja suala la utaifa.
 
Hata Ss baada ya Prezidahh kuleta Salam na ahad kedekede mwisho wa Siku tukatoka😁
Marais ni kama huwa wana laana, hivi si juzi nimesikia Rais wa Equatorial Guinea aliwapongeza wachezaji wake na kuwapa Pesa leo wamefungasha virago,

Itoshe kusema marais wa Africa waache kutia mikono yao kwenye masuala ya kimichezo maana ni kama wana laana,

Juzi kabla ya mechi na Tanzania Rais wa Drc Congo alienda Ivory coast kuongea na wachezaji wa Drc Congo........Leo Congo pia anatoka.
 
IMG_9653.jpeg
 
Back
Top Bottom