2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024


Tiketi yako imeungua jivu kabisa. [emoji23]
 
Wameweka bus, hawana uwezo wa kupishana na hii Ivory Coat ya leo.
Jana nilijua tu Senegal hawezi kutoboa kwa mpira ule aliokuwa anapigiwa, Ivory Coast walicheza kama vile wapo tayari kuifia team yao, wachezaji wote walisahau majina yao na wakacheza kama underdogs.

Na kama mechi zilizobaki zote watacheza kama jana, basi tutawakuta fainali.

Ni mimi na jamaa yangu uran ndio tulikuwa upande wa Ivory Coast bila kificho, kwahiyo najua maumivu n mengi sana humu ndani.
 
View attachment 2887841
Ungeweka kama hivi halafu weka laki moya Mimi nasubiria Hawa wawili kesho hapo
Unadhani hata naelewa chochote basi.
Sijui chochote kuhusu betting na sina mpango wa kucheza kamari😁

Ila kwa ustawi wa afya za watu,Afcon siyo ya kubet kabisa kudadeq🙌
Kuanzia ile mechi ya misri sikuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…