2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Baada ya Sub ya Sinayoko na Coulibally nilisema kabisa goli linarudi.
Hawajamaa wawili ndio nguzo ya Mali, kocha alivyo mpumbavu kawatoa.

Watu hawajaruhusu goli, hawajaumia, upo zaidi kwa mtu mmoja unafanya sub ya watu muhimu lazima upigwe tu.

Nakumbuka mwaka 2009 AFCON ya Ufunguzi ilifanyikia Nchini Angola.
Angola [emoji1029] Vs [emoji1159] Mali.
Angola aliupiga mwingi mpaka dakika ya 75 anaongoza 4 bila, akatoa wachezaji wake wote hatari akina Manucho, Flavio nk. Kuanzia dk 79 Mali [emoji1159] wakaanza kupata magoli mpaka dk ya 90 goli zote 4 zikawa zimerudi. Wakati Mali ya akina Fred Kanoute, Seydou Keita nk.

Mali [emoji1159] OUT
 
Back
Top Bottom