2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ni fedha hakuna mifukoni, au ni Mahaba ya soka yapo chini...

Naondoka na Uchumi,Third World country,Hali mbaya ya raia kiuchumi!

Professional FOOTBALL ni product ya Industry revolution!
Hizi game zingepigwa Tz viwanja vingejaa mechi zote. Nafikiri mahaba ya soka na uchanga wa soka letu yanachangia.

Cot D'voire wana wachezaji wakubwa wanacheza nje hawana mwamko wa kuangalia majina makubwa ya timu nyingine.
 
No... Ni kwasababu ya background yao mpaka wamefika hap.

Ivory Coast wameonesha mfano wa kwanini mtu ukipewa second chance haupaswi kufanya mess up.

Truth to be told....Mali hawajakutana na timu ngumu ni timu regular tu ambazo wako katika level sawa au sometimes wamezizidi.

Lakini pia ni funzo lingine kuwa ukipewa dhamana ya kuwa host wa mashindano lazima utetee heshima yako kuonesha kwanini uliaminiwa.
Hawapo serious hao 😂
 
No... Ni kwasababu ya background yao mpaka wamefika hap.

Ivory Coast wameonesha mfano wa kwanini mtu ukipewa second chance haupaswi kufanya mess up.

Truth to be told....Mali hawajakutana na timu ngumu ni timu regular tu ambazo wako katika level sawa au sometimes wamezizidi.

Lakini pia ni funzo lingine kuwa ukipewa dhamana ya kuwa host wa mashindano lazima utetee heshima yako kuonesha kwanini uliaminiwa.
Kwamba South Africa ni timu rahisi🤣😂
 
Back
Top Bottom