Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mtumishi Wewe Unaamini Uchawi [emoji23]
Uchawi upo
Case study Ivory coast
[emoji23][emoji1487]Umetisha mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] niliona mapema sana.
Arsenal ume waangalia🙄😀Hata hivyo sina timu leo
Zimeongezwa hzo hzo 7Za refa kama 7
Haya mashambulizi Nigeria wanafanya sasa hivi....
Walikuwa wapi muda wote.
Hawa mfano wao una Fanana sana pia na Ureno Mwaka ule wanatwaa Euro dhidi ya Mfaransa FainaliIvory Coast ni kama ilivyotokea Denmark kwenye Euro 1992
Jamaa hawakufuzu ghafla wakaitwa mashindanoni wiki kadhaa baada ya Yugoslavia kuzuiwa kushiriki michuano kwasababu za kisiasa.
Denmark kutoka kutokufuzu mpaka wakaenda kubeba ndoo!!
Hamna goli hapo shughuli imeisha hiyooNahisi Nigeria anaweza akapata chuma ya pili…
Uchawi Gani timu yao ipo Tecnical tatizo kubwa la ivory coast ilikua ni kuruhusu sana Magoli ilo sio kushambulia na kuchezea mpira Na Ndio Maana kocha kuna watu kama watano walikua hawapo first eleven ila akaamua kuwanzisha akiwemo Seri na KossonouUchawi upo
Case study Ivory coast
YahHawa mfano wao una Fanana sana pia na Ureno Mwaka ule wanatwaa Euro dhidi ya Mfaransa Fainali