[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo silali etiiiIngetukuta wats hiyo
Pele lingepata mkubaji,na madomo ya kina Haji Manara
Nchi nzima ingejaa kelele
anawatania niliwafunga nyinyiii naona anaonyosha vidole tuHawa wachezaj wa ivory coast wanamtania huyu mfungaji bora. Inabid wamshukuru sn mana amewaamsha usingizini hd wamefika hpo na kubeba kombe
Correct 100%Haya wote tumeona Drogba uwanjani, Solomon Uwanjani, sisi na chichiem yetu tukaamua kubeba mwinjaku sijui na baba nani yule , yan badala ya kubeba professionals tumebeba machawa, Jaman tujifunzage kwa walio fanikiwa… aloo acha kabisaaa yan babalevo na mwinjaku kwa pamoja nikiwaambia wapige hata danadana tano yan 2+3 kwa pamoja wakiweza nawalipa…
Eti nliyaona yanamwambia msuva “ Msuva ukiipata piga kwa mbali “ majinga yale apige kwa mbali nini ? Kwanza nani aliyapeleka karibu na kambi ya wachezaji yale majinga ? Kenge kabisa waleWahamasishaji eti baba levo na mwijaku jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wenzetu Leo mmewaona kina Drogba ,Kalou yaani wako Kabisa wanaonesha wanaumia live yaani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mpr acha tu mkuu[emoji1487]Kbs km gem ya leo 90% waliwapa nigeria ushindi, kilichotokea ss doh
siasa dogo apewe nafasiWalisema dogo hana nidhamu sijui kocha hamtaki
Pasingekalika, yn bongo tunapenda mpira basi tu ndo hatuna timu. Lkn tungekua na timu na hii misifa yetu mbona wangetukomaIngetukuta wats hiyo
Pele lingepata mkubaji,na madomo ya kina Haji Manara
Nchi nzima ingejaa kelele
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani mambo ya ainu sana wanawaacha wachezaji wanawachukua wapuuzi waleEti nliyaona yanamwambia msuva “ Msuva ukiipata piga kwa mbali “ majinga yale apige kwa mbali nini ? Kwanza nani aliyapeleka karibu na kambi ya wachezaji yale majinga ? Kenge kabisa wale
meanza kuota eti mchezaji kibwana mnapanga had namna ya kushangiliaPasingekalika, yn bongo tunapenda mpira basi tu ndo hatuna timu. Lkn tungekua na timu na hii misifa yetu mbona wangetukoma
Ndo wampe ss, na tutafute kocha mwingine. Ila lkn tukianza kujipanga mdg mdg bas tunaweza kufanya vzr hta tu kwa kuvuka makundisiasa dogo apewe nafasi
[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo silali etiii
Umenichekeshaaaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mabango km yote 😂😂Yaani Bina ingekuwa Tanzania hapa tungeugua masikio
Hizo taarifa sasa ingekuwa kumsifia tu Rais anaupiga mwingi
Yan sasa mwijaku atamwambia nini samata kwenye mpira ? Watu wanapiga boli Ulaya huko ye yupo mpiji magohe wapi na wapi ? Yan nlikasirika sana, wamechukua watu vikindu huko sijui, kongozoma sijui wakamshauri novatus dismas namna ya kuzuia kama beki , aloo hii nchi ina ujinga mwingi sana[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani mambo ya ainu sana wanawaacha wachezaji wanawachukua wapuuzi wale
Wanaenda na msafara wa viongozi 15 Jamani nilishangaa sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mpira hamna kitu ila tumejaza vyeo sijui semajiPasingekalika, yn bongo tunapenda mpira basi tu ndo hatuna timu. Lkn tungekua na timu na hii misifa yetu mbona wangetukoma