Dah,Hahaha dadeki wamejua kuwavua nguo ndugu zao, siyo parties kuzimwa tu yani hadi mikeka mingi imechanwa leo, watu waliingia na matokeo yao mifukoni
Siku hizi ndio nimekuwa mpole sasa, ingekuwa zamani ningekushushia gazeti la kichambo.sikuhizi unamijineno sio kama zamani! haya kaka wa watu ushaniita mjinga! kutoa ushauli tu wakulinda penzi la ndoa! nimekoma..😅
umuamshe mpige stori unamuachaje alale we upo macho!Siku hizi ndio nimekuwa mpole sasa, ingekuwa zamani ningekushushia gazeti la kichambo.
We nae umezingua, mpenzi yuko mbali na kalala saa hizi wakati mimi ndio nimeshtuka ulitaka nifanyaje?
Nikupelekee motoSiku hizi ndio nimekuwa mpole sasa, ingekuwa zamani ningekushushia gazeti la kichambo.
We nae umezingua, mpenzi yuko mbali na kalala saa hizi wakati mimi ndio nimeshtuka ulitaka nifanyaje?
Binafsi tusishinde tu maana hata viongozi wa mpira nao wajinga wajinga watupu hawawezi ongea bil kumtaja mama Samia haya Sasa na siasa zao chafu hatufiki popoteYan ccm wanaujinga mwingi sana mabango ya mama samia yatakuwa yakutosha uwanjanii, yan kwa stail hiyo mpira hauwez fika popote
Tena wa mikoni na miguunyinyi hamta mletewe walemavu hambebi kombe
Njia ya kupata kombe ni kuliiba tu baasiTz hata tucheze na mawe
Kombe hatubebi
Haller mi kwangu ndo mshindiNashangaa humu hamumzungumzii mwamba Sebastian Haller[emoji2]
AmeenHaller [emoji3590]
Mungu amponye maradhi yake
Alichofanywa na Adingra hatasahau.Wa naija tutaweka wapi nyuso?, kuna yule anaitwa aina sijui, jamaa anacheza kibishoo sana, japo anajua kias chake.
Afrika kama kawaida kung'ang'ania madarakaHuyu rais wa Ivory coast, naona kama mzee sana. Na afya yake haipo sawa.
Je ana miaka mingapi?
Uzalendo unapimwaje?.Au kwakuvaa nguo zenye rangi ya bendera.wenzetu wanajitahidi sana kuachana na fikra zakijima ndo maana wanafanikiwa.Sjui ila kwa kiongoz Tena Raisi hiyo ni dalili yakutokuwa mzalendo
Tatizo Tanzania ingeshinda ccm wangejipa sifa kemkemKama kawaida watanzania kushabikia mataifa mengine.
Hongereni wa ivory Coast wa mbagala.
Sjui ila kwa kiongoz Tena Raisi hiyo ni dalili yakutokuwa mzalendo
Hii imeeeeendaTukutane AFCON 2025 InshaAllah
hahahaaaa, jamaa mabishoo sana, kama morocco tu.Alichofanywa na Adingra hatasahau.
hilo ndo tatizo kubwa, timu inakuwa kama ya chama na si taifa tena.Tatizo Tanzania ingeshinda ccm wangejipa sifa kemkem
Dada una roho ngumu sana Mpira unaleta magonjwa ya moyoHuwa siangalii movie😂
Wacha sasa nirudi rasmi kwenye ligi yetu ya uingereza