2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Nigeria wanalia kwa kupoteza kombe ambalo lilikuwa mbele yao.

Mwaka jana jirani zetu wa jangwani moment kama hii wao walikuwa na vibe kwasababu wanauhakika wa kuvaa medali.
Haya mambo yanatoka wapi lakini?
 
Back
Top Bottom