DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Kafunga goli tamu Sana leo[emoji4]ilo ni li mdudu kabisa mamaye mechi na Congo limejitishwa Ndooo nyingi Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafunga goli tamu Sana leo[emoji4]ilo ni li mdudu kabisa mamaye mechi na Congo limejitishwa Ndooo nyingi Sana
Mbona kabeba mkuu si page ya caf ineorodhesha labda watapewa pesa1. Golden Gloves, Williams S. Africa
2. Fair Play. S. Africa
3. Golden Boot. Emmilo Nsue, E. Guinea
4. Player of the Tornament Ekong, Nigeria
Hakuna Tuzo ya mchezaji Bora Chipukizi, ingekuwepo angebeba Simon Adingra.
Tezi dume,kashapona,alifanyiwa operationAnaumwa nn?
alikua na stage one ya CancerAnaumwa nn?
KansaAnaumwa nn?
uyo ni mtu mwingine kabisa Africon nzima hakuna wakumfikia kwanza ana uwezo mkubwa sana wakujipistionKafunga goli tamu Sana leo[emoji4]
Mechi za mwanzo aangecheza huenda kiatu Leo angechukua yeyeuyo ni mtu mwingine kabisa Africon nzima hakuna wakumfikia kwanza ana uwezo mkubwa sana wakujipistion
Mechi za mwanzo alikosekana,kiatu kingeweza muhusu leoKafunga goli tamu Sana leo[emoji4]
CancerAnaumwa nn?
Na angebeba kweliMechi za mwanzo aangecheza huenda kiatu Leo angechukua yeye
Mwafrika kiumbe mbaguzi na. 1 alafu 2 mwarabu sasa wakibaguliwa utasikia kelele yao kuwa na aibuuyu mzungu vipiiii na kombe letu sema Raisi sio mzalendo kabisa una oa Mzungu kweli
kombe lenu kachuka kagame lipo GomaWell deserved[emoji1081]
nguruwe tu kama nguruwe wengine yule mim mwenyewe nimeishinao sana iringa wabaguzi sana ata usiwateteMwafrika kiumbe mbaguzi na. 1 alafu 2 mwarabu sasa wakibaguliwa utasikia kelele yao kuwa na aibu
😂😁kombe lenu kachuka kagame lipo Goma
Hahaha kwa kweli Ivory Coast wametusave waafrica from noise pollution, this Was Africa vs Nigeria, kila mwafrika anawafahamu hao raia kwa dharau zao na kujikuta
Dunia nzima mwanaume yupo huyo mmoja tu?Mmerudiana au..😀
Haya mambo yanatoka wapi lakini?Nigeria wanalia kwa kupoteza kombe ambalo lilikuwa mbele yao.
Mwaka jana jirani zetu wa jangwani moment kama hii wao walikuwa na vibe kwasababu wanauhakika wa kuvaa medali.
Umeona eeh?Hahaha kwa kweli Ivory Coast wametusave waafrica from noise pollution, this Was Africa vs Nigeria, kila mwafrika anawafahamu hao raia kwa dharau zao na kujikuta