Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #161
Diouf nae yumo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kama zile za wakinga wa mtaa wa Congo karikooKumbe jezi za Guinea ni form 6
Pacome, ilibaki hivi 🤏.Mastaa wa africa hawanaga maajabu sana wakiwa na timu zao za taifa hata hivyo
Kuna kipindi alidai mama yake anamrogalimenenepa hilo halitaki tena mazoezi linatumia pesa ya mafuta ya arabuni
muongo huyo yey mwenyewe ana maskendo ya ushirikina kibao kuna mshikaji wake alipotea kwenye mazingira ya kutanisha wakia beach wanakula bata had leo hajulikani alipoKuna kipindi alidai mama yake anamroga
Naunga mkono hojaFofana ananikumbusha enzi za Michael Ballack…ni mwendo wa mikwaju tu
Credit kwa kipa vinginevyo ingekuwa kamba
Wanacheza kama wanathiimbaaa🤣😂😁Hawa Guinea hawa [emoji23]
Fofana ananikumbusha enzi za Michael Ballack…ni mwendo wa mikwaju tu
Credit kwa kipa vinginevyo ingekuwa kamba