raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mastaa wa africa hawanaga maajabu sana wakiwa na timu zao za taifa hata hivyokwanin ivory coast hawajamuita zaha nashangaa hayupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mastaa wa africa hawanaga maajabu sana wakiwa na timu zao za taifa hata hivyokwanin ivory coast hawajamuita zaha nashangaa hayupo
ata ao kina max gradiel hawana jipya lolote walishindwa kufuzu word cup 2022 walikua wanaruka ruka tuMastaa wa africa hawanaga maajabu sana wakiwa na timu zao za taifa hata hivyo
ivory coast habebi hili kombe wamenyumba sanaNabeti Bingwa anatoka kati ya hizi timu:
-Morocco
-Ghana
-Senegal
-Nigeria
-Ivory Coast
-Egypt
-Algeria
Nafikiri kocha kaamua kuleta damu mpyakwanin ivory coast hawajamuita zaha nashangaa hayupo
jamaa wanajiokotoa tu magoliNgoja tuwaone wenyeji wana jipya gani
ivory coast ata tukipewa stars tunawanyosha hawa hawana lolote
Watashinda nyingijamaa wanajiokotoa tu magoli