Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kwa sababu ya korona auKuanzia mechi za leo tusitegemee viwanja kujaa mashabiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu ya korona auKuanzia mechi za leo tusitegemee viwanja kujaa mashabiki.
Simba imemwona tayari.Huyu Fofana ni mtu
Tunasubiri ushauri wa drogbaSimba imemwona tayari.
Ni swala la muda tu
😁😂😂Simba imemwona tayari.
Ni swala la muda tu
KabisaTunasubiri ushauri wa drogba
Duh... Hawa Morocco watatuua🤔🤔Morocco vs Tanzania, Laurent Pokou Stadium, San Pedro (17:00)
Jana uwanja ulijaa kwakuwa ni timu mwenyeji, AFCON ina changamoto ya mashabiki kusafiri kwenda kutazama mashindanoKwa sababu ya korona au
Kwakweli ni shughuli sio kidogoGame za usiku ni shughuli
Thubutuuuu! Mapemaaa tutatolewawapi wew sis lazima tumchampe mtu
Ulichokiandika hapo ni sawa na kusema Mvua itanyesha kati ya siku zifuatazo:Nabeti Bingwa anatoka kati ya hizi timu:
-Morocco
-Ghana
-Senegal
-Nigeria
-Ivory Coast
-Egypt
-Algeria