Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
Kwasababu kwa Africa, Waarabu ndio wenye mpira wao. Wamewahi kututangulia kisoka.Mechi za ambazo wanacheza waarabu naona zinakuwa na watu wengi compare na mechi za kawaida.
Mechi ya Cameron na hii naona wamejaza uwanja