Wametoka kivipi? Group C.
Cameroon vs Gambia wakitoka draw
Cameroon atakuwa na point 2 gambia 1 .Kibest looser watazidiwa na ivory coast mwenye points 3 pia Cameroon atazidiwa na Ghana kwa GD.
Group D. Algeria akishinda dhidi ya Mauritania maana yake kutakuwa na best looser mmoja tu kwenye hilo group sababu Mauritania atakuwa na points 0.
Group E
South Afrika akimfunga Tunisia maana yake hilo group litakuwa na best looser mmoja tu sababu Tunisia atakuwa na point 1.
Group F
Taifa stars wakifungwa , Zambia akifungwa zaidi ya goli 1 kibest looser watazidiwa na Ivory coast mwenye points 3 na Zambia atazidiwa na Ghana kwa GD.
Sasa unaposema wameshatoka unaangalia vigezo gani?