2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Cameroon wanamuangusha sana Ettoo,mchezaji aliyecheza kandanda la kuvutia katika zama zake
 
Ivory coast kwa mchezo walioucheza jana watavuka kundi ila watatolewa hatua ya 16 bora kama sio Robo fainali, hawafiki hata Nusu fainali hawa,

wana mpira wa Hovyo tu defense mbovu mno katika maombi yao waombe sana hatua za mtoano wasikutane na Timu kama Egypt au hata Congo tu maana watapigwa nyingi sana itakua ni aibu ya kutupa.
Mkuu now wanahali mbaya
 
Back
Top Bottom