2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Burkinabe
IMG_9574.jpeg
 
unanifundisha kitu ambacho nakifahamu najua ili upate timu 16 lazima uwe na Timu 32 nimeanza kucheki mpira kitambo sana point yangu ilikua kwanin wasiweke timu zote 32
Nahisi kunaweza kuwa na sababu za muda pia wa kucheza michuano yenyewe kuongeza timu 08 kwenye 24 ili kupata hizo 32 kunaongeza makundi mengine mawili ya ziada
 
Mungu Ibariki Angola.
Mungu Ibariki Mauritania(japo kuna tetesi washakula mpunga wao.)
 
Back
Top Bottom