Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Captain wao aliwabeba na ndo kawa cost leo watoke pia.Moja ya timu bora ya mashindano inatolewa katika mashindano…inauma
Unaona wanalia wachezaj wao.kwa sbb wametolewa kikatili sana yan dkk ya mwsh na mtu kajitwisha ndoo hapo hapo.