Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 340
- 654
Sasa waarabu walivyo wahuni Watalazimisha Ngoma Ikaamuliwe na Matuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah ni kweliKabisa.
Ila upungufu huwa unaongeza nguvu
Kocha kaingia uwanjani?Huyu kocha nae anatoa sana kadi
Wakienda matuta Banyamulenge anakufaSasa waarabu walivyo wahuni Watalazimisha Ngoma Ikaamuliwe na Matuta
Duh 🤣😂Tangu waanze mechi za mtoano jana, tayari kuna kadi nyekundu 3
Kocha anatoaje kadi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu kocha nae anatoa sana kadi
Wewe endelea kusoma fiction story tu hii ni nafasi kwa CongoKabisa.
Ila upungufu huwa unaongeza nguvu
Huyo kalewa 🤣😂Kocha anatoaje kadi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio kutokueleweka kwenyewe.Sio kwamba hapewi tu nafasi?
Kocha anatoaje kadi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakapambane na kundi la waasi la maimai🤣🤣Pigeni hao warudi msituni
Kule Misri anafanya vizuriSioni ajabu mayele kutowika kama huku, bongo tunadanganyana tu hakuna mpira
Mayele huyoooNdio kutokueleweka kwenyewe.
Benchi halijawahi kuwa rafiki kwa mchezaji.
Kabisa poti 😁Wakapambane na kundi la waasi la maimai🤣🤣