James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Wakivuka kwenye hatua za makundi wanakuwaga hatari sana, si mnajua balaa la Al Ahly😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team ya taifa inabid ajitumeKumbe Inonga alipiga penalty akapata Mungu ni mwema sana..nikikumbuka kule SA na Orlando pirates...alipokosa aliumiaaa yani tukatoka jamani..nadhani ile picha ilikua inamrudia akasema noo lazima leo nipate..
Alisikika mlevi mmoja 😅Wakivuka kwennye makumdi wanakuwaga hatari sana, si mnajua balaa la Al Ahly😁😁😁😁
Jini mkata kamba za utumwani Misri😂
Mweupe kama rimu pepA
Wanarudia kupigaHivi ingetokea penati zingefika kumi moja misri angepiga nani na wapo pungufu😄😄
Golikipa kisiki kiazi kweli kweliWameenda kulala eti wanasema gabasiki kumbe ni boxi tu
GABOKSI kaumbuka vibaya naona aliambiwa Goli kipa wa Kongo akimfumulia shuti juu ya Goli hadaki akafumua kweli juu na kitu kikaenda mnazi kitu nje Egypt OutKumbe Yule Gabaski Afcon iliyopita Alikua anachupa Ina Taarifa za Kila Mpigaji Penalt na Upande anaopendelea Kupiga, Mechi ya Leo naona Hakua na Hizo taarifa Na Ndio Maana Akajiamulia Penalt zote Aruke upande mmoja Kama Akikumbana Nayo Sawa. Hongera Ba mutu ba Congo.
Upo sahihi kabisa hata shilling ikishindwa wanamrusha mtuWanarudia kupiga
Na penati zikishindwa kuamulia inarushwa shillingi
Anaenda upande mmoja TU upande wa kulia kushoto haendi hataki kuvunjika bandama Goli zote ZIMEENDA kushoto isipokua ya yule beki wa Simba Inonga sijui ndio alimpigia kulia nayo kamtoboaGoli kisiki kiazi kweli kweli
Heri angelenga kipa adake
Ndio huyu walisema mzuri sana kwa mikwaju..nikajua ni kama kipa la Morocco na Argentina.
Mweupe jamaa,hata Manula anamzidi kudaka mikwaju.
Jana gemu ilikua inaisha asubuhi ni mwendo wa penalty mpaka mtu apatikane mtu arudi kwaoNdio naamka.. Jana nililala mapema.. Nakutaka na Notifications ya 8-7 Penalty. Duh na nyekundu juu.
Mechi moja ibilisi ameumbukaView attachment 2886124
Mkuu unamfahamu huyu Paka?
Jana aliwarabiria Nigeria na Angola ikawa kweli.
Leo amewapa Equatorial Guinea na Congo DR.
View attachment 2886131
View attachment 2886126
Mungu Ibariki Afrika.
Mungu Ibariki Afrika Mashariki.
Mungu Ibariki DRC.
kwa ajili yetu na Afrika Mashariki yote.
Amen!!
Kwa sababu mwimbo wa South Africa ni wimbo wetu basi ntasimama na South Africa na Morocco nae aende kwaohaya ndugu zangu wabantu, tumebakiza mwarabu mmoja tu ambaye ni morocco.
siku ya game tuungane wote kwa pamoja kusapoti south.
nauliza Morocco tumfanye niniiiiiiiiiiii?
Paka kaungua gemu ya equatorial guinea 😂Mechi moja ibilisi ameumbuka
Yani leo najiona hapo kabisa nimechelewa kuamka nikachelewa kazini na nina jam la usingizi kama lote hapa!Hali ilivyo leo makaziniView attachment 2886681
Jamaa akaamua kuwachinja wenzake kwa kupaisha kabisa mchezo uishe.Anaenda upande mmoja TU upande wa kulia kushoto haendi hataki kuvunjika bandama Goli zote ZIMEENDA kushoto isipokua ya yule beki wa Simba Inonga sijui ndio alimpigia kulia nayo kamtoboa
GABOKSI mwokozi ameharibu shughuliJamaa akaamua kuwachinja wenzake kwa kupaisha kabisa mchezo uishe.