Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,964
- 3,496
Umeongelea ukweli zaidi mkuu. Hizi timu ni mfano mzuri sana kwa mapinduzi ya soka la africa.Ni sahihi. Ukiangalia Physic, umri wa wachezaji pamoja na majina yao wachezaji wa hizi timu mbili unaona wanakitu, wapo serious na wanamaanisha na kujua wafanyacho na wamekaa kimichezo. Kimsingi, tuna safari ndefu sana kuwafikia hawa.