2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Mafala nilikua nawafatilia sana hata mitandao ya huko kwao Casablanca walijua hii shughuli imeisha.

Tena jana baada ya Senegal kutoka wakawa wanatamba kwmb wa kuweza angalau kutuzuia kdg katolewa.

Mpr ndo maana ni mchezo unapendwa dunian kote kwa sbb hautabiliki kirahis rahis sana.
kwanza Hoteli yao wamekodi wanajeshi hatari afu walikataa Hoteli walioandaliwa na CAF nyauuuu wakubwa asa Hakim sjui anajiliza nin mbuzi mkubwa huyu
 
GFH5QhzWwAAA1lD.jpeg
 
Back
Top Bottom