Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Kwa majumuisho ya mwenendo wao katika michuano yote, utaona kama kila mtu kapata alichostahili hapo.B... hapana bwana. DRC walistahili ushindi, bahati haikuwa tu upande wao.
Ujue DRC wameshinda mechi moja tu kwenye michuano hii. Moja tu basi.
Ova