Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #12,821
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu Sanaa ..ht hyo mwaka tukiandaa tusuburie tu kufungwa kwenye mtoanoYan sasa mwijaku atamwambia nini samata kwenye mpira ? Watu wanapiga boli Ulaya huko ye yupo mpiji magohe wapi na wapi ? Yan nlikasirika sana, wamechukua watu vikindu huko sijui, kongozoma sijui wakamshauri novatus dismas namna ya kuzuia kama beki , aloo hii nchi ina ujinga mwingi sana
Huyu dogo winga tereza hata hapo brighton huwa anakiwasha sana akicheza aloo acha kabisaaa huyo adingra nomaa1. Golden Gloves, Williams S. Africa
2. Fair Play. S. Africa
3. Golden Boot. Emmilo Nsue, E. Guinea
4. Player of the Tornament Ekong, Nigeria
Hakuna Tuzo ya mchezaji Bora Chipukizi, ingekuwepo angebeba Simon Adingra.
Inabid waiongeze hii tuzo kuwapa motisha vijana1. Golden Gloves, Williams S. Africa
2. Fair Play. S. Africa
3. Golden Boot. Emmilo Nsue, E. Guinea
4. Player of the Tornament Ekong, Nigeria
Hakuna Tuzo ya mchezaji Bora Chipukizi, ingekuwepo angebeba Simon Adingra.
Yan ccm wanaujinga mwingi sana mabango ya mama samia yatakuwa yakutosha uwanjanii, yan kwa stail hiyo mpira hauwez fika popoteAibu Sanaa ..ht hyo mwaka tukiandaa tusuburie tu kufungwa kwenye mtoano
Na bora tusishinde maaana watamsifia Mama mpk baasi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu Simon Andigra anaupiga mwingi na anajua kukata umeme,na kutoa pass,kupiga cross nk.Huyu dogo ninaamini atatafutwa sana na team kubwa Laliga,bundes, ligue 1 na EPL1. Golden Gloves, Williams S. Africa
2. Fair Play. S. Africa
3. Golden Boot. Emmilo Nsue, E. Guinea
4. Player of the Tornament Ekong, Nigeria
Hakuna Tuzo ya mchezaji Bora Chipukizi, ingekuwepo angebeba Simon Adingra.
Kapewa nani kwan??Siku hizi mchezaji bora wa mashindano si lazima atoke timu iliyotwaa Ubingwa?
Kapewa Ekong, Nigeria.Kapewa nani kwan??
wew na we asa weusi wenyewe Ndio NinFinally
tumejikuta weusi wenyewe bila mwarabu
Ndio inatakiwa hivi kwa kwenda mbele mpaka waombe kujiunga na arab league
Mabango km yote 😂😂
nyinyi hamta mletewe walemavu hambebi kombeIngekuwa ndo sisi hapo akina Mwamnyeto ndio wanapita kuvaa medali
Aisee kingewaka
Bia humo vilabuni zingeisha
Kapewa ekong wa nigeriaKapewa nani kwan??
Natumaini wsijipendekeze kwa waarabu kuwafuta machoziSiku hizi mchezaji bora wa mashindano si lazima atoke timu iliyotwaa Ubingwa?
Yupo Epl tayari, Anatwanga BrightonHuyu Simon Andigra anaupiga mwingi na anajua kukata umeme,na kutoa pass,kupiga cross nk.Huyu dogo ninaamini atatafutwa sana na team kubwa Laliga,bundes, ligue 1 na EPL