Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Na naona waliambizana wamalize Mchezo mapema ndani ya dakika 90, maana walijua wangejichanganya tu kufika kwenye penalties kwisha habari yao, maana kipa wa kudaka mikwaju pale hawanaLeo ivory coast kapiga mpira mkubwa Sana, kamkamata Nigeria kila idara[emoji4]