- Thread starter
- #21
Kaanzisha SGR, mkitaka muuze chuma chakavu shauri yenu, yeye Hana deni
Ndege kibao na nyingine Hadi naogopa ikiwa zitatua ama watazigawana hukohuko, mkitaka uzeni shauri yenu yeye Hana deni!!
Kakarabati bandari zote na kununua meli, mkitaka muuze mgawane pesa, shauri yenu
Vituo vya Afya na hispitali kajenga, mkitaka viwe vituo vya popo, shauri yenu, yeye Hana deni
Kaanzisha ujenzi wa madaraka makubwa kama busisi ili kuharakisha maendeleo, mkitaka msyaendeleze, mtajijua wenyewe, yeye keshasepa na Yuko kwenye ulimwengu mwingine kabisaaa!!
Wamachinga kawafanya wajione kuwa nao Wana haki ya kufanya biashara, mkitaka watimueni, Hana deni
Bwawa la umeme Stiglasgoji, mkitaka liwe bwawa la kunyweshea mifugo Aina ya swala,Simba, mbweha, chui, tembo, na mamba kuogelea au mahali pa kwenda mtu kuogelea, Sawa, yeye Hana shida
Miradi ya maji karibu kooote nchini, mkitaka fumueni na muanze kuwauzia wananchi maji, kwake yeye ni Sawa!!
Ndege kibao na nyingine Hadi naogopa ikiwa zitatua ama watazigawana hukohuko, mkitaka uzeni shauri yenu yeye Hana deni!!
Kakarabati bandari zote na kununua meli, mkitaka muuze mgawane pesa, shauri yenu
Vituo vya Afya na hispitali kajenga, mkitaka viwe vituo vya popo, shauri yenu, yeye Hana deni
Kaanzisha ujenzi wa madaraka makubwa kama busisi ili kuharakisha maendeleo, mkitaka msyaendeleze, mtajijua wenyewe, yeye keshasepa na Yuko kwenye ulimwengu mwingine kabisaaa!!
Wamachinga kawafanya wajione kuwa nao Wana haki ya kufanya biashara, mkitaka watimueni, Hana deni
Bwawa la umeme Stiglasgoji, mkitaka liwe bwawa la kunyweshea mifugo Aina ya swala,Simba, mbweha, chui, tembo, na mamba kuogelea au mahali pa kwenda mtu kuogelea, Sawa, yeye Hana shida
Miradi ya maji karibu kooote nchini, mkitaka fumueni na muanze kuwauzia wananchi maji, kwake yeye ni Sawa!!