Pre GE2025 2025 kuna uwezekano Paul Makonda akachukua fomu ya Urais. Ndipo Rais Samia ataijua vizuri rangi ya Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mleta hoja sehemu salama uliyotakiwa kuwepo ni MIREMBE tu na sio uraiani!
hata hivyo kama una dose nakushauri utumie kama ulivyoelekezwa na Dr.
 
Katiba inataka mgombea Urais angalau awe na degree moja.

Nikumbushe Makonda ana degree ya kutoka chuo gani?
Paulo Mkonda alikuwa anasoma
masters lakini Sijajua kama alimaliza. Lakini hizo ndoto anazootewa hajawahi kuziota na hazipo. Kazi anayoifanya Makonda ndilo jukumu lake la Msingi Kwenye “Job Description “ . Nguvu ya Chama inategemea sana Uwezo wa Katibu Mwenezi, Infact Makonda naona Uwezo wake unaweza ukawa unafanana na wa Hamphrey Polepole. Wacha Kazi Iendelee
 
Ataanzia wapi? Walikuwepo kina Lowassa wako wapi?

Urais sio wa Kila mtu
 
Kwa sasa katika CCM lolote linaweza kutokea!
Lakini bado naamini Mwenyekiti ni sawa na Mfalme Chamani hakuna wa kumtingisha
Kila mara tumejaribu kuwafahamisha humu kwamba JPM ameacha athari kubwa sana kwenye mioyo ya wananchi wengi sana katika Nchi hii!

Japo pia wapo ambao hawakumpenda na wapo waliomchukia pia,
Lakini ukweli ni kwamba wengi walimpenda sana na kumuamini sana!

Hivyo yeyote yule atakayecheza na akili za watu kwa style ile ya JPM huyo mtu hatokamatika tena !!
Makonda anacheza na akili za Watanzania walio wengi wale waliompenda Magufuli kupita maelezo !
Na so far inaonekana anaWin hiyo Game!

Jamaa hazuiliki tena whatsoever !!
Ngoja Tusubiri tuone 🙏🙏
 
Huyu dogo anakwenda kupindua meza ya maza 2025
 
Suala la Rais aliyeko madarani kupiti bila kupingwa kwenye kura za maoni huko CCM usilitafakari sana kwenye uchaguzi wao wa ndani 2025. Lolote linaweza kutokea.
Fomu inaprintiwa moja tu ambayo ni ya Dr Samia sasa Makonda atachukua ipi? CCM hakujawahi kuwa na demokrasia so hilo sahau
 
Nafarijika sana na nyuzi kama hizi!, angalia tarehe ya bandiko langu hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Kilichofanya nikafarijika ni kukuta JF bado tuna few people ambao ni bonafide genuine. Watu wengi humu JF ni fake sana, hivyo watu genuine wakweli halisi toka ndani ya nafsi zetu, tunahesabika!, wewe Mkuu Senior security ni one of them, big up for this!.

Kitendo cha kusema "Mimi simpendi Makonda, hata nyuzi zangu zinaonyesha hilo kwa uwazi kabisa lakini akigombea Urais nitamuunga mkono" hii maana yake na wewe umebaini kuwa licha ya mapungufu yake yote ya kibinaadamu, ubishoo, siasa za sanaa za maigizo, lakini unakiri Makonda ana kitu ndani yake hivyo akiishika hii nchi, itanyooka!.

Watu wa kweli wa type hii ndio wale watu watetezi wa kweli wa wanyonge, kwa hoja kuwa mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!.

Kama speed hii Makonda aliyoanza nayo, sio nguvu ya soda, na ataendelea na mchakamchaka huu hadi 2025, namshauri Rais Samia, awape wapinzani kila wanachotaka, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, a level playing field na bado wataambulia patupu!.

Kwasababu Makonda ni yule yule Magufuli!, Paulo huyu wa sasa ni reincarnation ya Magufuli, hivyo CCM itakomba kila kata, kila jimbo, kila kitu! Kwasababu
Kwanza Makonda ameifufua CCM kuendelea kupendwa na kukubalika Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!
Pili Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli na tatu nauliza tena na tena Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
P
 
Hana elimu ya kutosha kuwa raisi wa nchi , ccm hawawezi kumfanya mgombea.
Hanaelinu ya kutosha
 
Asante mkulungwa Pascal Mayalla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…