Wakati utasema ,Sasa watafanya Kwa mlengo wa alieshika hatam sio kwa historian ya huko nyuma!
Itakuwa ulikuwa umelala tangu mwaka 2015, sasa ndio umeamka!Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Muda ukifika utaona mwenyewe.Itakuwa ulikuwa umelala tangu mwaka 2015, sasa ndio umeamka!
Dah!!!ukhty vp nusra tayari????Kazi kwao Mie Bado Naomboleza Tokea 2021 Sitaki Hata kuwasikia hawa watu
mtihani uko wapi kama wamekubaliana mama aendelee kuwa mgombea pekee ndani ya chama chao?Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Hakuna cha muda. Lowassa and his team is a past tense in CCM.Muda ukifika utaona mwenyewe.
Lakini team msoga imejichimbia sanaMwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.
Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.
2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
😂😂😂😂😂2025 ccm wanakwenda na maji alisha sema Bwana mbona hamtaki elewa,jitie upofu
AmesheshachelewaAbsolutely, JPM aliweza kutengeneza team mpya. Mama anaweza ku take advantage wa wale wasio ndumila kuwili kutoka kwenye makundi hayo, angalau atakiunganisha chama kwa kiasi fulani.
Huyo msoga amelaza wengi na kujifanya kinara, siku zake zinahesabika.Timu Msoga itaanza kumpumzisha kwa amani mmoja baada ya mwingine kwa wale wote wanaoonekana kuwa tishio
Huyu mama kwakweli kazi hii hawezi kabisa, apumzike tuuTunaomba maadui wa Mama Chamani washindwe na walegee !!
Ulisha tutangazia toka mwanzo kwamba Mzee mmoja mwenye busara alikutahadharisha kwamba ogopa sana wenzio wenye magwanda ya kijani kuliko wale wa nje !!
Jamaa bangi yake huwa sijui huwa anaichanganya na nini yule bwanaNgoja nicomment haraka kabla ya Yule wa “ Ngoja waje wakupe Mwongozo” haja comment
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja nicomment haraka kabla ya Yule wa “ Ngoja waje wakupe Mwongozo” haja comment
Na huo ndio ukweli wenyewe 😅🙏🙏Siasa za Tanzania ni nzuri sana.
Rais aweza kuunda team yake mpya kabisa ambayo itakuwa loyal kwake 100℅ kwa kuyaondoa makundi na wote wakakaa kimya wakisubiri wakati wao.
Nguvu ya mamba ipo kwenye maji.
Pole aanaKazi kwao Mie Bado Naomboleza Tokea 2021 Sitaki Hata kuwasikia hawa watu
Tuko pamoja!Kazi kwao Mie Bado Naomboleza Tokea 2021 Sitaki Hata kuwasikia hawa watu